Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

ebwana katika watu wenye maakili humu naona wewe ndio nambari moja. asante sana kwa ushauri. ila mwana ebu nikuulize sasa ikitokea yule niliyompenda kwa dhati kashaolewa inakuwaje sasa?
Mkuu hapo pana tatizo, amekwisha olewa yeye ni mke wa mtu sasa, na kumgusa mke wa mtu ni dhambi kubwa. Tafuta mwingine wa kwako. By the way ... umesema "uliyempenda kwa dhati", kama ulimpenda kwa dhati mbona kaolewa na mwingine? Je, Yeye pia alikupenda kwa dhati? No, hapo pana shida mkuu, kama alikupenda kwa dhati pia asingeolewa na mtu mwingine. Epuka sana upendo wa upande mmoja.
Wanawake wapo wengi sana, utampata mwingine mtakayependana kwa dhati, na ukimpata, oa, usifanye "uasherati".
 
Mkuu hapo pana tatizo, amekwisha olewa yeye ni mke wa mtu sasa, na kumgusa mke wa mtu ni dhambi kubwa. Tafuta mwingine wa kwako. By the way ... umesema "uliyempenda kwa dhati", kama ulimpenda kwa dhati mbona kaolewa na mwingine? Je, Yeye pia alikupenda kwa dhati? No, hapo pana shida mkuu, kama alikupenda kwa dhati pia asingeolewa na mtu mwingine. Epuka sana upendo wa upande mmoja.
Wanawake wapo wengi sana, utampata mwingine mtakayependana kwa dhati, na ukimpata, oa, usifanye "uasherati".

ah nilimpenda kwa dhati ila tatizo mshiko kaka, nilitajiwa mahali mwenyewe nikashindwa alafu wakati huo mwanawane nipo jobless kona. ndio nikapotezea. sasa haiwezekani wote mkapenda kwa kiwango kile kile kuna mmoja kati yenu tuu atapenda zaidi. natafuta ila wapi bwana either anaipenda lakini mie simpendi vilivyo aumie napenda lakini mahali sina .
 
Kisusio hapati
Hapati kivipi?,hapo ulipo umelewa,halafu umebanwa mkojo au vipi?.eti una muuliza mangi choo kiko wapi?,anakushika mkono anakupeleka store ya duka,nahapo unavua chupi unakojoa ,ukimaliza dushe la mangi linakuingia pale katikati au vipi,unaanza kulia aah aahhh Masawe nipe yote aaah ninihiiiii inawasha Masawe nikune tafadhali aaaah inauma ile kitu yangu inawasha aaaah nipe yoote,daaaah halafu unaniletea ukimwi mimi mme wako kenge wewe bluu.
 
Ulitaka akuambie ukweli kwamba saa hizi np na mwenzio ndio uamini!
 
Kiukweli kama kaanza izo swaga utaumia sana ndani ya mahusiano ukitaka uishi kwa Amani na wewe tafuta mchepuko mtamu kuliko yeye naamini hata kupa stress tena
 
Back
Top Bottom