Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Waulize TFF na SIMBA sisi wengine ni mashabiki tu kama ulivyo wewe wa Kidimbwi FC usiporidhika nenda UT au CAS kama kawaida yenu1.kibu denis alisajilikuwa Simba kama raia au mchezaji wa kigeni???
2..je kama alisajiliwa kama mgeni kutoka nchi Gani ??
3.. Je kama alisajiliwa kama raia inamaana Simba walisajili mchezaji ambaye sio raia wa apa lakini wakamsajili kama raia ???
4 ...nataka kujua kapewa uraia kwani alikuwa raia wa nchi Gani ???
5..je kama Simba ilimsajili kama mgeni na Sasa kapewa uraia inamaana Simba itaongeza wachezaji wa kigeni ??
Naomba ujibu kama unajua kweli usijibu kishabiki tu apa wakati ujui chochote sawa jaman
Jibu maswali kama unaakili timamu [emoji120][emoji120]
Ndipo shutuma ilipoanzia. Yaani mwizi kwakuwa kaiba hukooo hakukamatwa akikatwa aachwe tu kwakuwa alishaiba huko kwingineMaswali yako yamekaa kiushabiki, Kibu hakuanza kuchezea Simba kwani alikuwa Geita baadae akachezea mbeya city Cha ajabu maswali yako yanahoji kuhusu Simba badala ya kuanzia timu za nyuma
Yani muujiza mwenyewe kashindwa kuuliza maswali kwa akili alafu anataka ajibiwe kwa akili inashangaza!?Maswali yako yamekaa kiushabiki, Kibu hakuanza kuchezea Simba kwani alikuwa Geita baadae akachezea mbeya city Cha ajabu maswali yako yanahoji kuhusu Simba badala ya kuanzia timu za nyuma
Maswali yenyewe hayako timamu yamekaa kishabiki halafu unataka ujibiwe na watu wenye akili timamu, usitusumbue1.kibu denis alisajilikuwa Simba kama raia au mchezaji wa kigeni???
2..je kama alisajiliwa kama mgeni kutoka nchi Gani ??
3.. Je kama alisajiliwa kama raia inamaana Simba walisajili mchezaji ambaye sio raia wa apa lakini wakamsajili kama raia ???
4 ...nataka kujua kapewa uraia kwani alikuwa raia wa nchi Gani ???
5..je kama Simba ilimsajili kama mgeni na Sasa kapewa uraia inamaana Simba itaongeza wachezaji wa kigeni ??
Naomba ujibu kama unajua kweli usijibu kishabiki tu apa wakati ujui chochote sawa jaman
Jibu maswali kama unaakili timamu [emoji120][emoji120]
TFF na wadau wengine hawakuwa wanajua km hakuwa mtanzania so kote alipopita ilikua hvyo hadi hapo ilipokuja kufahamika so zikachukuliwa hatua zinazostahili mi sioni ht haja ya kulikuza as if kulikua na njama vile! simba wenyew walimsAJILI TOKA mbeya city ambao nao walimtoa timu nyngne hapahapa tz kote uko alikuwa km mchezaji mzawa sa simba au TFF wangejuaje?1.kibu denis alisajilikuwa Simba kama raia au mchezaji wa kigeni???
2..je kama alisajiliwa kama mgeni kutoka nchi Gani ??
3.. Je kama alisajiliwa kama raia inamaana Simba walisajili mchezaji ambaye sio raia wa apa lakini
mkuu umeweka kaushabiki pembeni Leo umeongea vizur sana .... hata Mimi naona kuna mahala hizi mamlaka zilichemka kidogo.Kibu aliingia nchini na wazazi wake wakikimbia machafuko uko Mashariki ya DRC Kongo akiwa na miaka sita. Taarifa za Uhamiaji na mashirika ya kuhifadhi wakimbizi ndivyo zinavyo sema. Sasa kwajinsi gani aliweza kupenya kutoka kwenye makambi ya wakimbizi na kufikia kusajiwa na Geita na Mbeya City akisajiliwa Kama Mtanzania apo ndipo ilipo shughuli.
Kwa ujumla kunataratibu zili kiukwa ndio maana Mambo yamekuja kufahamika pale alipo sajiliwa na timu Kubwa.
1.kibu denis alisajilikuwa Simba kama raia au mchezaji wa kigeni???
2..je kama alisajiliwa kama mgeni kutoka nchi Gani ??
3.. Je kama alisajiliwa kama raia inamaana Simba walisajili mchezaji ambaye sio raia wa apa lakini wakamsajili kama raia ???
4 ...nataka kujua kapewa uraia kwani alikuwa raia wa nchi Gani ???
5..je kama Simba ilimsajili kama mgeni na Sasa kapewa uraia inamaana Simba itaongeza wachezaji wa kigeni ??
Naomba ujibu kama unajua kweli usijibu kishabiki tu apa wakati ujui chochote sawa jaman
Jibu maswali kama unaakili timamu [emoji120][emoji120]
Maswali ya kizalendo sio kishabiki...Maswali yako yamekaa kiushabiki, Kibu hakuanza kuchezea Simba kwani alikuwa Geita baadae akachezea mbeya city Cha ajabu maswali yako yanahoji kuhusu Simba badala ya kuanzia timu za nyuma
kwa hiyo ana miaka 29???sijui umri wa passport utaonyesha ngapiWazazi wake walitoroka vita DRC mwaka 1998 akiwa na miaka 6.
Hivyo maisha yake yote ni Hapa TZ, japo kwa sheria za uraia yeye hakuwa raia kwa sababu wazazi wake ni waCongo.
Haya mambo yako Sana mikoa ya pembezoni mwa nchi.