Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
1.kibu denis alisajilikuwa Simba kama raia au mchezaji wa kigeni???
2..je kama alisajiliwa kama mgeni kutoka nchi Gani ??
3.. Je kama alisajiliwa kama raia inamaana Simba walisajili mchezaji ambaye sio raia wa apa lakini wakamsajili kama raia ???
4 ...nataka kujua kapewa uraia kwani alikuwa raia wa nchi Gani ???
5..je kama Simba ilimsajili kama mgeni na Sasa kapewa uraia inamaana Simba itaongeza wachezaji wa kigeni ??
Naomba ujibu kama unajua kweli usijibu kishabiki tu apa wakati ujui chochote sawa jaman
Jibu maswali kama unaakili timamu [emoji120][emoji120]
2..je kama alisajiliwa kama mgeni kutoka nchi Gani ??
3.. Je kama alisajiliwa kama raia inamaana Simba walisajili mchezaji ambaye sio raia wa apa lakini wakamsajili kama raia ???
4 ...nataka kujua kapewa uraia kwani alikuwa raia wa nchi Gani ???
5..je kama Simba ilimsajili kama mgeni na Sasa kapewa uraia inamaana Simba itaongeza wachezaji wa kigeni ??
Naomba ujibu kama unajua kweli usijibu kishabiki tu apa wakati ujui chochote sawa jaman
Jibu maswali kama unaakili timamu [emoji120][emoji120]