Si mpaka awenacho hicho kibarua? humu majobles Saa hizi ndio tunapiga soga kupunguza ukali wa maisha.Inapendeza kama ukipumzika sasa
Ili uwahi kesho kibaruaniβ¦
Nitawahije kibaruani wakati Niko hapa Kwa shemeji dada ananitunza japo nalala sofani sebuleni.Inapendeza kama ukipumzika sasa
Ili uwahi kesho kibaruaniβ¦
Na kweli walio na vibarua vyao washalala ili waviwahi keshoπππshida ni sisi walalamikia tuzo huku kwa meloSi mpaka awenacho hicho kibarua? humu majobles Saaa hizi ndio tunapiga soga kupunguza ukali wa maisha.
Usiwe unagombania sasa remote na watoto wa dada mkuu ilhali bei ya vingβamuzi hujuiπNitawahije kibaruani wakati Niko hapa Kwa shemeji dada ananitunza japo nalala sofani sebuleni.
Prince Kunta
Yani wewe baniani anakusubili asubuhi akakusulubu utapata wapi jeuri ya kuwa online saa hizi?Na kweli walio na vibarua vyao washalala ili waviwahi keshoπππshida ni sisi walalamikia tuzo huku kwa melo
Aiseeeeeπ
Wewe bintiNa kweli walio na vibarua vyao washalala ili waviwahi kesho[emoji38][emoji38][emoji38]shida ni sisi walalamikia tuzo huku kwa melo
Aiseeeee[emoji38]
Na huku Mama nae anakusubiria,akukate tozo kwenye kamshahara kako uliopewa na baniani! Life is not fair sometimes!!!Yani wewe baniani anakusubili asubuhi akakusulubu utapata wapi jeuri ya kuwa online saa hizi?
Hapa tupo wajanja wajanja tu full magumashi.
Ujinga tu.Wengi wanaolialia kuhusu Tozo lukuki wameichaguwa CCM na wanaishabikia wakuidhan wanaikomoa Chadema.
Na muhimiza huyo mwigulu azidishe tozo aongeze zaidi ya maradufu asiishie hapo tu atoze watu kodi Hadi wanapotoka majumbani mwao.
No mercy. Watu wakila mlo mara Moja kila baada ya siku tatu yatosha.
Chadema Ndo inaturudisha nyuma kimaendeleo.
Watanzania wanajitakia na kustahili kuishi maisha magumu na ya dhiki ni haki Yao kuishi hivyo.
Nyaunyie!
Na bado tozo ya kunya, ukienda chooni kunya unalipa tozoWengi wanaolialia kuhusu Tozo lukuki wameichaguwa CCM na wanaishabikia wakuidhan wanaikomoa Chadema.
Na muhimiza huyo mwigulu azidishe tozo aongeze zaidi ya maradufu asiishie hapo tu atoze watu kodi Hadi wanapotoka majumbani mwao.
No mercy. Watu wakila mlo mara Moja kila baada ya siku tatu yatosha.
Chadema Ndo inaturudisha nyuma kimaendeleo.
Watanzania wanajitakia na kustahili kuishi maisha magumu na ya dhiki ni haki Yao kuishi hivyo.
Nyaunyie!
Week hii TOZO itawekwa kwenye "Female pads"Wengi wanaolialia kuhusu Tozo lukuki wameichaguwa CCM na wanaishabikia wakuidhan wanaikomoa Chadema.
Na muhimiza huyo mwigulu azidishe tozo aongeze zaidi ya maradufu asiishie hapo tu atoze watu kodi Hadi wanapotoka majumbani mwao.
No mercy. Watu wakila mlo mara Moja kila baada ya siku tatu yatosha.
Chadema Ndo inaturudisha nyuma kimaendeleo.
Watanzania wanajitakia na kustahili kuishi maisha magumu na ya dhiki ni haki Yao kuishi hivyo.
Nyaunyie!
Na vitengeMpaka akili ziwakae sawa, siyo mkipewa T-shirt na Kofia mnawahi vituoni kuipigia kura CCM.
Na bado tozo ya kunya, ukienda chooni kunya unalipa tozo
π π πYani wewe baniani anakusubili asubuhi akakusulubu utapata wapi jeuri ya kuwa online saa hizi?
Hapa tupo wajanja wajanja tu full magumashi.