Wengi wanaolialia kuhusu Tozo lukuki wameichagua CCM na wanaishabikia wakuidhani wanaikomoa CHADEMA.
Na muhimiza huyo Mwigulu azidishe tozo aongeze zaidi ya maradufu asiishie hapo tu atoze watu kodi hadi wanapotoka majumbani mwao.
No mercy. Watu wakila mlo mara moja kila baada ya siku tatu yatosha.
CHADEMA Ndo inaturudisha nyuma kimaendeleo.
Watanzania wanajitakia na kustahili kuishi maisha magumu na ya dhiki ni haki Yao kuishi hivyo.
Nyaunyie!
Na muhimiza huyo Mwigulu azidishe tozo aongeze zaidi ya maradufu asiishie hapo tu atoze watu kodi hadi wanapotoka majumbani mwao.
No mercy. Watu wakila mlo mara moja kila baada ya siku tatu yatosha.
CHADEMA Ndo inaturudisha nyuma kimaendeleo.
Watanzania wanajitakia na kustahili kuishi maisha magumu na ya dhiki ni haki Yao kuishi hivyo.
Nyaunyie!