Mimi nawaza kwa akili zangu kwa 100% Mi sii Kichaa, sijui wewe

it sounds like you are... but mmmh! waswahili wanasema kichaa si lzm aokote makopo!
 
Kapime tu Kwanza mkuu kwani hata kichaa naye hajijui kuwa ni kichaa
Huwaona wenzie kama vichaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] huu utafitiiiii na ule wa 1%...............
 
Kichaa utamjua kwa mawazo yake. Humu ndani nimegundua pia kuwa kuna vichaa wengi sana
 
Mi nnakua kichaa pale 2 napolewa sana.....mfano juz nmepgana na wa2 100 kidogo disco...c ukichaa huo...
 
Mi nnakua kichaa pale 2 napolewa sana.....mfano juz nmepgana na wa2 100 kidogo disco...c ukichaa huo...
[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] duh
Mkuu kuwa makuni ukikutana na watalamu wa ngumi hurudi ata na jino 1 nyumbani
 
Kwa mujibi wa watafiti ina maana kila kwenye comment 4 za huu uzi moja ni ya kichaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…