Mimi nawaza kwa akili zangu kwa 100% Mi sii Kichaa, sijui wewe

Mimi nawaza kwa akili zangu kwa 100% Mi sii Kichaa, sijui wewe

mbere

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
6,967
Reaction score
6,465
Baada ya kuwaza kwa sauti. napingana na hawa watafiti eti tunawaza kwa 1% tu. wengine watafiti wengine tena wamekuja juzi apa, Kati ya watanzania 4 mmoja ni Kichaa
Mimi Hapana jamani
Mimi nawaza sana
Mi sii Kichaa
Siko kwenye category yeyote ya vichaa
Labda nyie wenzangu humu
Watanzania tukatae watafiti hawa wanaotutukana kisailensa
Weka neno la Kukataa tafiti za kututukana
Wakafanyie Ulaya huko kwa vichaa wanaotaka mashoga
Wazungu ambao ndo wanaoongoza kwa vichaa na watumiaji wengi wa madawa ya kulevya sisi no
Sii vichaa
Tunajua kuwaza
 
Sifa mojawapo ya kichaa ni kukataa kwamba yeye sio kichaa!!!
 
1476286425871.jpg
 
Aisee ungekuwa mzima ningekuambia soma dalili za ukichaa vizuri utaelewa naongelea nini
 
Mzee kadiri unavyo bishaa ndio inaonesha kinapanda.
 
ukiona mtaani kwenu hakuna chizi hata mmoja au rafiki zako wote wazima basi jipigie mstari we ndio chizi lenyewe
Sii kiivyo mkuu wao wanasema katika watu 4 mmoja ni chizi
 
Almarhumu babu yangu aliniambia ukienda katika mji na ukakosa kichaa hama mji ule nikamuuliza kwanini? akanijibu hakuna mji ukakosa kichaa na mimi nilimuelewa sihami jamiiforum.com.
 
Back
Top Bottom