mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Baada ya kuwaza kwa sauti. napingana na hawa watafiti eti tunawaza kwa 1% tu. wengine watafiti wengine tena wamekuja juzi apa, Kati ya watanzania 4 mmoja ni Kichaa
Mimi Hapana jamani
Mimi nawaza sana
Mi sii Kichaa
Siko kwenye category yeyote ya vichaa
Labda nyie wenzangu humu
Watanzania tukatae watafiti hawa wanaotutukana kisailensa
Weka neno la Kukataa tafiti za kututukana
Wakafanyie Ulaya huko kwa vichaa wanaotaka mashoga
Wazungu ambao ndo wanaoongoza kwa vichaa na watumiaji wengi wa madawa ya kulevya sisi no
Sii vichaa
Tunajua kuwaza
Mimi Hapana jamani
Mimi nawaza sana
Mi sii Kichaa
Siko kwenye category yeyote ya vichaa
Labda nyie wenzangu humu
Watanzania tukatae watafiti hawa wanaotutukana kisailensa
Weka neno la Kukataa tafiti za kututukana
Wakafanyie Ulaya huko kwa vichaa wanaotaka mashoga
Wazungu ambao ndo wanaoongoza kwa vichaa na watumiaji wengi wa madawa ya kulevya sisi no
Sii vichaa
Tunajua kuwaza