Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
POVU: KUNA KIMTU KIMENIKERA ASUBUHI ASUBUHI
Kuna kamtu kananiletea hoja za haki sawa. Yaani katoto ka 2003, ana miaka 20 kasoro miezi kadhaa kananihangaisha mzee mkubwa na ndevu zangu.
Yani nikaajiri, kasifanye kazi nnayotaka, kajipangie siku za kuingia kazini na muda wa kutoka halafu nikanyamazie eti mbona boss wewe siku zingine unachelewa kazini au unawahi kuondoka.
Yaani kazi yangu halafu kamfanyakazi kanipangie. Kamekurupukia haki sawa hata hakaelewi.
Boss nimesema hivi, haki sawa kwangu HAPANA kubwa tena kama ni mwanamke usitegemee kabisa upendeleo kwangu.
Mimi kitu kinaitwa HAKI SAWA ukishaniletea hizo hoja tu jua umeshaacha kazi na nimeshaku disqualify katika kila jambo na nakuona huna akili umejaza kachumbari na nyanya chungu kwenye kichwa.
Wanawake achaneni na suala la haki sawa, litawaondoa kwenye mambo ya msingi na mtaangamia. HAki sawa mpaka Yesu anarudi halitakuja kutimia na litabakia kuwa dhana (concept) kwasababu NATURE haiko katika haki sawa na haihamasishi haki sawa.
NATURE IS NOT EQUALIZED AND NOT INFLUENCING EQUALITY. NATURE HAS EQUITY AND NOT EQUALITY
Kuna kamtu kananiletea hoja za haki sawa. Yaani katoto ka 2003, ana miaka 20 kasoro miezi kadhaa kananihangaisha mzee mkubwa na ndevu zangu.
Yani nikaajiri, kasifanye kazi nnayotaka, kajipangie siku za kuingia kazini na muda wa kutoka halafu nikanyamazie eti mbona boss wewe siku zingine unachelewa kazini au unawahi kuondoka.
Yaani kazi yangu halafu kamfanyakazi kanipangie. Kamekurupukia haki sawa hata hakaelewi.
Boss nimesema hivi, haki sawa kwangu HAPANA kubwa tena kama ni mwanamke usitegemee kabisa upendeleo kwangu.
Mimi kitu kinaitwa HAKI SAWA ukishaniletea hizo hoja tu jua umeshaacha kazi na nimeshaku disqualify katika kila jambo na nakuona huna akili umejaza kachumbari na nyanya chungu kwenye kichwa.
Wanawake achaneni na suala la haki sawa, litawaondoa kwenye mambo ya msingi na mtaangamia. HAki sawa mpaka Yesu anarudi halitakuja kutimia na litabakia kuwa dhana (concept) kwasababu NATURE haiko katika haki sawa na haihamasishi haki sawa.
NATURE IS NOT EQUALIZED AND NOT INFLUENCING EQUALITY. NATURE HAS EQUITY AND NOT EQUALITY