Mimi ndio mwenye nyota ya kusalitiwa, vipi wenzangu haya mnayapata pia?

Covax Wacha kufanya mambo ya kishetani ,kwanza pole sana kwa mitihani pili kumsaidia mtu au kusaidia familia ni jambo zuri sana tatu fanya wema uondoke usisubiri shukurani na vile vile jifunze kutokana na makosa unayoyafanya plus kuwa na moyo wa huruma na kusamehe ,mwite mama watoto wako mwambie tunafungua page mpya musahamiane yalipita si ndwele mugange yajayo na kama ukiona bado hajakubali mrejeshe kwao kwa muda wa mwezi mmoja au hata miwili ukiona bado ujue ndio yenu imekwisha sababu kipindi cha yeye kwenda kwao ni kipimo tosha kati yenu bado mutakana na kupendana na kumisiana na kubwa zaidi uongeza jiko jengine imean oa mke mwengine utona atakovobadilika even though atakufanyia vishindo lkn mwisho atakaa sawa tu.
 
Waswahili hawatakiwi kufanyiwa huruma kama wewe unavyojitolea bora uwe mbinafsi ndio heshima itakuja. siku ukikosa pesa ndio utajua waswahili hawana jema

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kuna Anko yangu mmoja kila siku Akisema Washahili Chakula cha simba tu sijui alikuwa anamaanisha haya matendo yao.
 

Acha kukariri mzee usijifanye mlokole san hakuna life bila mistake na hakuna mistake bila life hiyo yote ni mipango ya Muumba alaf unaongea maneno ya kitoto san ww ndio mtu makini!!!leo kwake kesho kwako ndio maan kafunguka ili kila mtu ajifunze pia
 

Pole sana mzee ila huruma ikizid huzaa dhambi hakuna haja ya kuumia kwajili ya watu wengine wao hawana tym na ww kukushukur ila piga moyo kinde mtumainie Mungu fanya mambo yako jikeep busy na ishu zako Allah atakuinua ukisimama vzr zaid watakuja tena wakija weka tinted wasikuzoe,mambo uliyopitia ni fundisho kwako saidia wanao ndio msaada wako hawawez kukutupa sio ndugu wengn ni ovyo kaka
 
Now you are talking my brotha! I wish you good mzee ndio tunatakiwa tuishi hivyo
Am still younger kwa standard za kwetu hapa Tz am turning 39 this June isipo kua niliwahi maisha at 21 yrs nilikua tayari niko kwenye serious mapambano ya kutafuta pesa nilitafuta ki gari changu cha kwanza "Toyota corolla 100" napenda sana hiyo gari ilinivusha , niliweza ku attend masters lessons bila wa ajiri wangu ku notice, kwa kutumia mda wangu ipasavyo,
Experience yangu ya utafutaji na maisha ni kubwa kuliko umri wangu mimi naona kama ni mzee tayari. Kwasababu niki sikiliza stori za my age mate naona kama za kitoto unawasikia katika maongezi yao eti nime kutana na 'pisi kali' pisi kali bila pesa ni upumbavu.

Kwenye familia ndo nime vurugwa kabisa sina amani bora mwana umme wa mwaka 60, yani pesa sio kila kitu hasikwambie mtu 'life is more than money'
 
Inabidi tupate wasaa tuongee kidogo
 
brother nimesoma vizuri hii post nimejifunza sana sana sana. Wema wako time comes utalipwa hao waliozingua achana nao, hapo kwenye ndoa duh sio poa, pole sana
 
brother nimesoma vizuri hii post nimejifunza sana sana sana. Wema wako time comes utalipwa hao waliozingua achana nao, hapo kwenye ndoa duh sio poa, pole sana
Familia zingine kosa mmoja wao hasa mdogo afanikiwe kimaisha kabla yao wata mzonga paka akose amani ata kama anajipendekeza kwao kwa kutoa misada mbali mbali, hawa tashawishika ndg wana mengi acha tu.
 
Acha unafki Wana Wana biashara kubwa na wanatembea nje ya ndoa iyo no Imani yako ww
 
Unaona mke na watoto ni dhamani duniani tembea uone labda bado unakuwa Ila zunguka hii icho ujifunze mengi mke watoto ni Mali kama utajiri ambao mda wowote unaweza kukuacha kufilisika, kuibiwa na ukajiona wewe ni Sawa na mavi Tu ona Ayubu fatilia familia za kichaga hasa wanaume uzeeni bado hujui kitu endelea kujifunza
 
I think wewe ndyo wataka kujiuwa na kibaya zaidi labda Mali waogopa kuzigawanya Ila kumbuka Mali si kitu Bana maana zinatqfutwa na kupotea na bado tunazitafuta Mzee wangu alivunja ndoa yake akiwa na miaka 42 akaanza mwanzo saivi fresh maisha yanasonga katika kitu kinaweza kutumaliza mapema ni stress za ndoa kama mmejiaribu kusettle Mambo yawe Sawa imeshindikana basi just mov on angalia mbele kuna vingi snaa vya kufurahia Aya maisha kuliko kuiwaza ndoa na katika kusaidia msaidie mtu akiwa mbali nawe na Kwa kiasi kidogo sana haitakupa mawazo ata kidogo wala kutaka kusikia asante kwako life ni tamu sana broo tamu sna sema ndyo ivyo kuna kufa Tu Ila life is good
 
Kwa hali kama hiyo labda mwana mke mwenyewe aombe talaka, ila wengi hawataki, nikusumbua kwa kisingizio cha kuleya watoto.......
 
Pole mkuu. Ila acha kusaidia watu kwa kuhesabu na kutegemea malipo. Pia you look down on folk, pengine ndio maana wanapata na kusepa. Fix yourself.
 
It seems una unyanyasaji flani especially through maneno na inawezekana hata wewe mwenyewe hujui; jichunguze. Unasaidia watu kwa ajili yako na si kwa ajili yao ndio maana unaumia sana usipopata praise and worship kutoka kwao.

All in all usaliti upo duniani na tumeumbiwa binadamu. Pole sana
 
Naona hapo kama unamuonea mleta mada kasema watoto wake na wa ndg zake walienda shule moja, kasema hanaga mda wa ma simango, hata yule singo maza alie mpora samani za ndani ni kwa ajiri yàkumnyanyasa au? Ebu tuwe fair ili tujifuze maisha kupitia kwa watu wengine.
 
Waswahili hawatakiwi kufanyiwa huruma kama wewe unavyojitolea bora uwe mbinafsi ndio heshima itakuja. siku ukikosa pesa ndio utajua waswahili hawana jema

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wakati mwingine tunatoa misaada kwa ndg siyo kwa akili zetu bali watu wanahangaika kutupumbaza ndiyo maana unakuja kushtuka ushapigwa teyali
 
Ushaur wangu kwako achana na huruma ulizonazo,unawasaidia hawaoni thaman yoyote bado unaendelea acha kuwa na roho ya huruma
Mkuu wakati mwingine siyo akili zetu ni mambo fulani fulani ambayo sitaki kuyataja
 
sabuni tu ukateleza, ina maana ni sabuni ya mbuni
na kwanini ukalale na hasira za kusimama mpaka mwenzako kapata mtoto?
hiyo sio laana hapo umetuzidi wengine
kuna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…