Kwanza nakusifu kwa kua huna jazba.Mkuu hilo ilikua "delibate mistake' not 'accidental mistake' ndo maana nime omba Mungu anisamahe, alio sababisha hayo yote nimke wangu kama ni nuksi aliilete yeye, asinge nitenga nisinge fanya hicho kitendo
Una jazba Kama nduguyai.Acha kukariri mzee usijifanye mlokole san hakuna life bila mistake na hakuna mistake bila life hiyo yote ni mipango ya Muumba alaf unaongea maneno ya kitoto san ww ndio mtu makini!!!leo kwake kesho kwako ndio maan kafunguka ili kila mtu ajifunze pia
Umenena vyema Ila nakuhakikishia wako njia moja kuelekea kufilisika.Acha unafki Wana Wana biashara kubwa na wanatembea nje ya ndoa iyo no Imani yako ww
Tupo wengi tu mbona tunaosalitiwa
Yes, umenena mkuu!samehe saba mara sabibi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jama umetisha huenda una uzoefu wa kutosha na hao wa dudu (wanawake) ila nikipaji tu wanawake na Ndg wavuruga maisha usipo kua makini sanaaYes, umenena mkuu!
Formula ya kusamehe tulishakubaliana ni 7×70.
Huyu jamaa yeye amekua kibiashara/uwezo. Lakini anapingana na formula za kawaida kbs ktk maisha: atapata taabu sana!
Vyote alivyoeleza ndo maisha yetu yalivyo, eti yeye hajui na anaona ni usaliti mkubwa,!! Ajabu....! Huyu vitimbi vya wanawake ataviweza kweli?!!
Na bado anawatie bila cndom!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usitembee na mwanamke njeYes, umenena mkuu!
Formula ya kusamehe tulishakubaliana ni 7×70.
Huyu jamaa yeye amekua kibiashara/uwezo. Lakini anapingana na formula za kawaida kbs ktk maisha: atapata taabu sana!
Vyote alivyoeleza ndo maisha yetu yalivyo, eti yeye hajui na anaona ni usaliti mkubwa,!! Ajabu....! Huyu vitimbi vya wanawake ataviweza kweli?!!
Na bado anawatie bila cndom!
Na huo ndio uungwana maana wangapi wameshindwa kukusaidia ila yeye amejitoa, uko sahihi sanaBinafsi mtu akinisaidia hata kwa masimango siachi kutoa shukrani. Sijui nipoje..
Kama unataka mume sema, nikupe mawasiliano yakeVIpi dada yule mume hutaki tena kumgawa?
Wamekukimbia kwa sababu huna hela mkuuAhsante Rebeca, ndo maisha kuna kipindi unawaza kwamba kuna ushirikina nafanyiwa duh, hapa nilipo sina rafiki tena
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mke ni lishamrudia ila kanifanyia visa vingi sina mapenzi nae tena japo nimesharudi barabarani vuzuri ila instinct yangu ya ndani inamkata ila kumdvorce ni expensive kuliko kuka nae, kwahiyo naka nae kimkakati sasa hivi kalala yeye mimi niko sembuleni na chat saa 7 na nusu [emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] [emoji1]
Hujakoma tu, ngoja mtu aje akufie kwenye gari ndo utajua kuwa hujui[emoji848]Kweli mkuu maisha ya kua na huruma nimesha ya choka, siku hizi when I drive si angalie pembeni kutafuta wakumpa lift but some time humanity inakushinda paka unasaidia watu duh inauma.
Mkuu sio kwamba nilifilisika kabisa hapana, pamoja na biashara kushuka hawa kuweza kunifikia hata robo, wengi bado ni wajiliwa wanapokea mishahara yao ya kawaida 500k kwa 800k........tembo hata hakikonda hawezi kuligana na gombe, ni roho mbaya tu za ndg wetu.
Piga chini hao...masikini ana roho mbaya, na wivuMkuu sio kwamba nilifilisika kabisa hapana, pamoja na biashara kushuka hawa kuweza kunifikia hata robo, wengi bado ni wajiliwa wanapokea mishahara yao ya kawaida 500k kwa 800k........tembo hata hakikonda hawezi kuligana na gombe, ni roho mbaya tu za ndg wetu.
Hujakoma tu, ngoja mtu aje akufie kwenye gari ndo utajua kuwa hujui[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app