Mwamba Moto
New Member
- Sep 9, 2024
- 1
- 1
Ndg mwandishi pole sana kwa uliyoyapitia, ila sasa natumaini uko mzima na akili yako imerejea vizuri ndio maana hata ukaweza kueleza mkasa uliokumbana nao..
Lakini nna neno kidgo kwako, kama hutojali naomba upost picha ya hiyo miguu yako ambayo walinyofoa vidole vyako...!!!!!
Lakini nna neno kidgo kwako, kama hutojali naomba upost picha ya hiyo miguu yako ambayo walinyofoa vidole vyako...!!!!!