Mimi ni Genius wa Kugegeda Wanawake

Mimi ni Genius wa Kugegeda Wanawake

Moja Kati ya wosia mama yake Mfalme Suleman , alimwachia ni huu

Mithali 31 : 2 - 3 " Nikuambie nini mwanangu niliyekuzaa?
Nikuambie nini wewe niliyekuomba kwa Mungu?
.Usimalize nguvu zako kwa wanawake,
usiwape mali yako hao wanaoangamiza wafalme. "
Shukrani mkuu😂
 
Wakuu, nimegundua kuwa nina kipaji cha hali ya juu cha kufanya mapenzi na wanawake na kuwaridhisha.

Hivi hii haiwezi ingia katika vitabu vya rekodi za dunia kuwa Kuna mwanaume anaitwa Bei Elekezi aliishi karne ya 20 mpaka ya 21 ambaye alikuwa genius wa kuwapa raha warembo?

Najua kuna watu watakuja hapa na kujifanya wao wana akili sana, ujumbe ni kuwa nimewahi kulala na wanawake wengi sana ambao waume zao wanajifanya wako busy sana na ujenzi wa taifa, habari tamu ni kuwa wadada hao wananipenda mpaka kesho.
Jimalize kijana
 
Wakuu, nimegundua kuwa nina kipaji cha hali ya juu cha kufanya mapenzi na wanawake na kuwaridhisha.

Hivi hii haiwezi ingia katika vitabu vya rekodi za dunia kuwa Kuna mwanaume anaitwa Bei Elekezi aliishi karne ya 20 mpaka ya 21 ambaye alikuwa genius wa kuwapa raha warembo?

Najua kuna watu watakuja hapa na kujifanya wao wana akili sana, ujumbe ni kuwa nimewahi kulala na wanawake wengi sana ambao waume zao wanajifanya wako busy sana na ujenzi wa taifa, habari tamu ni kuwa wadada hao wananipenda mpaka kesho.
MITHALI 6

28Je! Mtu aweza kukanyaga makaa ya moto,
Na nyayo zake zisiungue?
29Ndivyo alivyo aingiaye kwa mke wa jirani yake;
Kila mtu amgusaye huyo atakuwa na hatia.
30Watu hawamdharau mwivi,
Akiiba ili kujishibisha, iwapo aona njaa;
31 Lakini akipatikana, atalipa mara saba;
Atatoa mali yote ya nyumba yake.
32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
33Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;
Wala fedheha yake haitafutika.
34Maana wivu ni ghadhabu ya mtu;
Wala hatahurumia siku ya kujilipiza kisasi.
35Hatakubali ukombozi uwao wote;
Wala hatakuwa radhi, ujapomlipa vitu vingi.
 
Utakufa Vibaya wewe.... Nakuonea huruma

Pasaka ulizobakiza ni chache sana..
 
Wakuu, nimegundua kuwa nina kipaji cha hali ya juu cha kufanya mapenzi na wanawake na kuwaridhisha.

Hivi hii haiwezi ingia katika vitabu vya rekodi za dunia kuwa Kuna mwanaume anaitwa Bei Elekezi aliishi karne ya 20 mpaka ya 21 ambaye alikuwa genius wa kuwapa raha warembo?

Najua kuna watu watakuja hapa na kujifanya wao wana akili sana, ujumbe ni kuwa nimewahi kulala na wanawake wengi sana ambao waume zao wanajifanya wako busy sana na ujenzi wa taifa, habari tamu ni kuwa wadada hao wananipenda mpaka kesho.


watu ambao hawana nguvu za kiume bwana wanapenda kujisifu
 
We juzi si ndiyo ulikuwa unacheza muziki na lile jimama pale ukumbini, na ukamla bila ndomu hahahaha!
 
Back
Top Bottom