Aliye watuma humu jf sijui nani,hamjampata mnaye mtafuta ? kila siku natafuta mchumbaaa,mwanaumee..dah ! wanatafutwaga ivi kweli ?habari zenu wanajamii forum mie ni dada wa miaka 34 ni mfanyakazi wa private organisation mojawapo ya mikoa yetu ya Tanzani napenda kujitokeza hapa kutafuta mwanaume ambae yupo serious na anahitaji mwenzi wa maisha ,elimu yangu ni ya chuo kikuu mimi ni mrefu ila sio mnene sana wa kawaida ,Nitashukuru kuwasiliana na watu ambao wako serious na wenye hitaji kama langu .Asanteni
Kutokupata haimanishi kwamba ana matatizo mkuu, itakuwa tumekariri vibaya, kama uko interested m- pm. Nafikiri you will know her better.Hahaahha hawashikiki hawa wa mitandaoni.
Jiulize miaka yote hiyo hajapata ana matatizo gani?
Ngoja niangalie nipo jukwaa gani? ............. Mmh Love connect.Aliye watuma humu jf sijui nani,hamjampata mnaye mtafuta ? kila siku natafuta mchumbaaa,mwanaumee..dah ! wanatafutwaga ivi kweli ?
Ngoja niangalie nipo jukwaa gani? ............. Mmh Love connect.
Gefu, wacha walitendee haki jukwaa bana!
Ooooh ! gosh.. kumbe eneo lao la kujidai,haya bana waache watafutane ila naona imekaa kimagumashi zaidi kuliko uhalisia..au ndo changamsha baraza.... Zatara I am saying this coz when it comes to mchumba,to me it sound a very serious thing,coz uchumba is one step to ndoa ..!
hahhhhahhh... ! we are now reading the same page ! ntaanza kuchangia post za kutafuta MCHUMBA.. teh ..tehhhe !hahahaahah, Gefu... Vijana siku hizi wana difinition za ki-digital digital
Asanteni wote kwa maoni mbalimbali