Mimi ni member mkongwe sana ila cha kushangaza...

Mimi ni member mkongwe sana ila cha kushangaza...

Wewe ni yule muasisi wa jumuia ya members wa"Kama hamchati niambieni nirudishe simu ya watu''
 
[emoji3][emoji3][emoji3]yako fresh....me nilimaanisha unaweza kuwa ID ya mwaka 2013 halafu ina reaction score hata 200 hazijafika, msg 100 hamna....kama hizo napata kwikwi kujibu
Ahsante mwali, naona hii bahati ni yangu na sitaki kuilazia dam.
.....check yo pm p'se

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom