Mimi ni mfuasi wa hawa watu humu JF

Mimi ni mfuasi wa hawa watu humu JF

dtj

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2014
Posts
1,333
Reaction score
1,379
Wakuu Sana.

Nimekua mfuatiliaji mzuri wa mabandiko ya wazee wangu "naamini wazee kwa Busara zao"

1. Mag3
2.Nguruvi3
3.TUJITEGEE

Sasa gafla naona wamesimama kubandika mabandiko yao pale UWANJA WA KIMATAIFA.

Naomba mjue kijana wenu siku aipiti bila kusoma mabandiko yenu japo tuu ndio siwezi kupost kule nadhani ni sababu ya kutotimiza vitego.

Nawaomba muendelee kutupa ufafanuzi, probably mnaniandaa kutake over kama mtazeeka.

Tusemezane.
 
TUJITEGEMEE
 
Wakuu Sana.

Nimekua mfuatiliaji mzuri wa mabandiko ya wazee wangu "naamini wazee kwa Busara zao"

1. Mag3
2.Nguruvi3
3.TUJITEGEE

Sasa gafla naona wamesimama kubandika mabandiko yao pale UWANJA WA KIMATAIFA.

Naomba mjue kijana wenu siku aipiti bila kusoma mabandiko yenu japo tuu ndio siwezi kupost kule nadhani ni sababu ya kutotimiza vitego.

Nawaomba muendelee kutupa ufafanuzi, probably mnaniandaa kutake over kama mtazeeka.

Tusemezane.
Wanaweza kuwa wametekwa.
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Back
Top Bottom