Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,771
Jamaa anastahili pongezi kwa jinsi alivyobuni namna ya kuzitangaza fursa za nchi yetu kwa watu. Sijawahi kuona kitu kama hiki kinachoendeshwa sasa na Clouds FM. Yaani watu wamehamasika na kuelewa kwa dhati kabisa kuwa hii nchi ina nafasi nyingi sana ambazo mtu anaweza kuzitumia na kujiendeleza kimaisha. Tungekuwa na vijana kama 10 hivi wenye upeo kama wa Ruge tungekuwa mbali sana.
Jamaa anastahili pongezi kwa jinsi alivyobuni namna ya kuzitangaza fursa za nchi yetu kwa watu. Sijawahi kuona kitu kama hiki kinachoendeshwa sasa na Clouds FM. Yaani watu wamehamasika na kuelewa kwa dhati kabisa kuwa hii nchi ina nafasi nyingi sana ambazo mtu anaweza kuzitumia na kujiendeleza kimaisha. Tungekuwa na vijana kama 10 hivi wenye upeo kama wa Ruge tungekuwa mbali sana.
unamponda madam mchovu na kibonde leo unamsifia ru gay. hzo fursa za kumtbu ray c then ampe papuchi au kumuajiri zamaradi na ale nyapu? kujifanya tht kituo cha yatima kumbe anawagonga mademu(God forbid kama si hadi wanaume). kama ni hzo fursa sawa!
Jamaa anastahili pongezi kwa jinsi alivyobuni namna ya kuzitangaza fursa za nchi yetu kwa watu. Sijawahi kuona kitu kama hiki kinachoendeshwa sasa na Clouds FM. Yaani watu wamehamasika na kuelewa kwa dhati kabisa kuwa hii nchi ina nafasi nyingi sana ambazo mtu anaweza kuzitumia na kujiendeleza kimaisha. Tungekuwa na vijana kama 10 hivi wenye upeo kama wa Ruge tungekuwa mbali sana.
[h=3]CLOUDS waanza kulegea kwa JIDE: Wapiga wimbo wake[/h]Started by Radhia Sweety, 21st June 2013 07:39
[h=3]Clouds kumshusha Rick Ross au Nick Minaj.[/h]Started by Radhia Sweety, 17th September 2012 12:08
[h=3]Kibonde afungua baa na stationery[/h]Started by Radhia Sweety, 21st February 2012 15:30
huwa mnakuja kupima upepo???
Hivi unajua Fursa au unaongea tu........Fursa kwa maslahi yao
Hivi unajua Fursa au unaongea tu........Fursa kwa maslahi yao
doo ruge mutahaba.....furusa za kuwagonga watoto wa tht,kumzalisha taken two,kumfukuza kazi bwana ake lady komando kisha shediii,furusa lulu kutuambia subiri sanaaJamaa anastahili pongezi kwa jinsi alivyobuni namna ya kuzitangaza fursa za nchi yetu kwa watu. Sijawahi kuona kitu kama hiki kinachoendeshwa sasa na Clouds FM. Yaani watu wamehamasika na kuelewa kwa dhati kabisa kuwa hii nchi ina nafasi nyingi sana ambazo mtu anaweza kuzitumia na kujiendeleza kimaisha. Tungekuwa na vijana kama 10 hivi wenye upeo kama wa Ruge tungekuwa mbali sana.
doo ruge mutahaba.....furusa za kuwagonga watoto wa tht,kumzalisha taken two,kumfukuza kazi bwana ake lady komando kisha shediii,furusa lulu kutuambia subiri sanaa
Fursa ni kufua boksa za Diamond.
Watu wanageuzwa vitegauchumi
bila kujijua wanakuja na kigezo cha fursa kumbe hamna lolote