Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Uzi wa Rickboy upitie kwanza baada ya hapo utapata jibu la jukwaa lipi litakufaa.Ahsante wakuu,naona kuna majukwaa mengi mno,,lipi ni bora zaidi
Ndio mkuu nimejifukizia pia mvuke wa 100°C-Kabla sijakukaribisha umenawa mikono na sabuni ya povu la kutosha kwa muda usopungua sekunde 20?
-Umevaa Barakoa!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani Mkuu Mimi me sio kekaribu sana dada yetu jisikie upo nyumban-mimi zaidi ntakuwa rafiki bora kwako na ntakufundisha mengi ya humu jf kutokan na uzoefu wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha karibu sana ndugu, humu kuna burudani sana, ideas nyingi sana positive kwa negative, Na pia kuna kero sana hasa kwenye masuala ya siasa mana wengi humu washapigwa upofu na siasa na wanasiasa!Ndio mkuu nimejifukizia pia mvuke wa 100°C
mwamba samahan daaaahhSamahani Mkuu Mimi me sio ke