dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Karibu JF, umefanya uamuzi sahihi kujiunga.siasa Safi na Ni mwana harakati halisi
Sawa mkuu nitachukuwa taadhari zote [emoji848]Karibu sana acha kuombaomba we jichanganye tu hakikisha umevaa helmet the road is rough and many drivers are crazy
Kumbe sijapotea mm ,Asante mkuu ubarikiweKaribu JF, umefanya uamuzi sahihi kujiunga.
Karibu JFHbr za humu ndani
Mm Ni mgeni hvyo naomba ushirikiano wenu
Nimekuwa nikifatilia jf kipindi kirefu bila kujiunga ila leo nimeamua kwa akili zangu mwenyeww kujinga ili
1 nikozoe pale panapo bidi
2 nisifie pale panapo bidi
3 niunge mkono hoja mbali mbali
4 kukubaliana kutokukubaliana
5 kuheshimu member wote
Mm ni mpenzi wa siasa Safi na Ni mwana harakati halisi na pia Ni mume wa mke mmoja [emoji41]
Kwa majina yangu naitwa
Dr Namugari p.m
Naomba mnipoke
Pole pole, kina lissu wote wamo humu! na kiongozi mwingne mkubwa sana nae yumo, ndo alinielekeza jinsi ya kucreat paswordUshakua mwenyeji tiyari wakulungwa tupo umetukuta na kina NAPE TUNAO HUM MPAKA JUMONG YUPO KIFUPI HAPA ndio jf
Asante mkuu senior memberKaribu JF
Ndio mm mkuu sasa nitabadilika vipMaarifa Yapo Tele Ila Badili Avatar Yako
Karibu Sana JF
Huyo Mwalimu Wakati Wa Jiwe Aliambiwa Siongezi Salary Hutaki Acha Kazi Akanuna
Asante mkuuKila la kheri...
Sawa hkn shida mkuuKaribu sana mkuu, kwa kuwa umeomba kukosolewa basi kazana kujifunza ujue kuandika…. hiyo ‘Dr’ kwa mwandiko huo HAPANA.
Nitajifunza mkuuu mm Ni Dr wa michongo tu nothing moreKaribu sana mkuu, kwa kuwa umeomba kukosolewa basi kazana kujifunza ujue kuandika…. hiyo ‘Dr’ kwa mwandiko huo HAPANA.