Mimi ni mgeni, naomba ushirikiano wenu

Mimi ni mgeni, naomba ushirikiano wenu

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Habari za humu ndani, mimi ni mgeni hivyo naomba ushirikiano wenu.

Nimekuwa nikifatilia JF kipindi kirefu bila kujiunga, ila leo nimeamua kwa akili zangu mwenyewe kujiunga ili;

1. Nikosoe pale panapobidi.
2. Nisifie pale panapobidi.
3. Niunge mkono hoja mbalimbali.
4. Kukubaliana kutokukubaliana.
5. Kuheshimu wanachama wote.

Mimi ni mpenzi wa siasa aafi na ni mwanaharakati halisi na pia ni mume wa mke mmoja. [emoji41]
Kwa majina yangu naitwa
Dr Namugari P.M.

Naomba mnipokee.
 
Hbr za humu ndani
Mm Ni mgeni hvyo naomba ushirikiano wenu
Nimekuwa nikifatilia jf kipindi kirefu bila kujiunga ila leo nimeamua kwa akili zangu mwenyeww kujinga ili
1 nikozoe pale panapo bidi
2 nisifie pale panapo bidi
3 niunge mkono hoja mbali mbali
4 kukubaliana kutokukubaliana
5 kuheshimu member wote

Mm ni mpenzi wa siasa Safi na Ni mwana harakati halisi na pia Ni mume wa mke mmoja [emoji41]
Kwa majina yangu naitwa
Dr Namugari p.m

Naomba mnipoke
Karibu JF
 


Karibu Sana JF

Maarifa Yapo Tele Ila Badili Avatar Yako
Huyo Mwalimu Wakati Wa Jiwe Aliambiwa Siongezi Salary Hutaki Acha Kazi Akanuna
 
Karibu sana mkuu, kwa kuwa umeomba kukosolewa basi kazana kujifunza ujue kuandika…. hiyo ‘Dr’ kwa mwandiko huo HAPANA.
 


Karibu Sana JF

Maarifa Yapo Tele Ila Badili Avatar Yako
Huyo Mwalimu Wakati Wa Jiwe Aliambiwa Siongezi Salary Hutaki Acha Kazi Akanuna
Ndio mm mkuu sasa nitabadilika vip
 
Karibu sana mkuu, kwa kuwa umeomba kukosolewa basi kazana kujifunza ujue kuandika…. hiyo ‘Dr’ kwa mwandiko huo HAPANA.
Nitajifunza mkuuu mm Ni Dr wa michongo tu nothing more
 
Back
Top Bottom