Mimi ni mwanaume wa miaka 30 pia nimlemavu ninatafuta mke wakuoa, ninaishi mkoa wa pwani napia nimwajiriwa ktk taasisi fulani, nikimpata huyo mke nitampenda kwa dhati ewe mwanamke kama upo tayar ni pm pia weka namba ya simu,nitashukuru sana kumpata huyo wa mke,
Malizia basi mdogo wangu....Hiyo CV haijakamilika......!!
Ungemalizia kwa kutaja take home tu, basi ungekuwa umechokoza nyuki saa 8 mchana tena wakati wa kiangazi!!
Ila kusema ukweli, hii njia uliyotumia itakufanya urudi hapa JF na thread nyingine kama 10 hivi....
Umeshindwa kuchacharika huko mtaani hadi uje kuomba msaada wa vivuli vya computer??
we ni mlemavu wa akili au viungo?
Mimi ni mwanaume wa miaka 30 pia ni mlemavu Viungo(miguu) ninatafuta mke wakuoa, ninaishi mkoa wa pwani napia nimwajiriwa ktk taasisi fulani, nikimpata huyo mke nitampenda kwa dhati ewe mwanamke kama upo tayar ni pm pia weka namba ya simu,nitashukuru sana kumpata huyo Mwanamke,
mapenzi hayaangalii ulemavu you can marry any woman of your dream, you dont have to mention your disability upfront
mbona kimya wadauwangu,