Mimi ni mlemavu, mwajiriwa natafuta mke wa kuoa

Mimi ni mlemavu, mwajiriwa natafuta mke wa kuoa

Mimi ni mwanaume wa miaka 30 pia ni mlemavu Viungo(miguu) ninatafuta mke wakuoa, ninaishi mkoa wa pwani napia nimwajiriwa ktk taasisi fulani, nikimpata huyo mke nitampenda kwa dhati ewe mwanamke kama upo tayar ni pm pia weka namba ya simu,nitashukuru sana kumpata huyo Mwanamke,
Mungu akupe hitaji la moyo wako
 
Huyu jamaa ndiye yule aliyeoa ktk gazeti la mwananchi nini ? Kama nini wewe hongera sana
 
Back
Top Bottom