Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,383
- 4,412
Wana Jf, Ni jambo zuri sana endapo kila mwana Jf atajitambulisha kabila lake hapa jamvini.
Swali: Nini Faida ya kutaja kabila lako hapa?
Jibu : Faida zake ni nyingi sana, nitakutajieni chache...
1-Itatusaidia kujua hapa jamvini kabila gani linaongoza kuwa na wanachama wengi
2-Itatusaidi kujua kabila gani lina busara zaidi kutokana na post za mhusika
3-Itatusaidia kujua tabia na uhalisia wa makabila yaliyopo Jf
4-Itatusaidia kujua makabila ya wana Jf ambao ni wabeba box
5-Itatusaidia kujua makabila gani mazuri kuchumbia
6-Itatusaidia kujua makabila........................
Swali: Nini Faida ya kutaja kabila lako hapa?
Jibu : Faida zake ni nyingi sana, nitakutajieni chache...
1-Itatusaidia kujua hapa jamvini kabila gani linaongoza kuwa na wanachama wengi
2-Itatusaidi kujua kabila gani lina busara zaidi kutokana na post za mhusika
3-Itatusaidia kujua tabia na uhalisia wa makabila yaliyopo Jf
4-Itatusaidia kujua makabila ya wana Jf ambao ni wabeba box
5-Itatusaidia kujua makabila gani mazuri kuchumbia
6-Itatusaidia kujua makabila........................