Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,087
Habari wadau.!
Mimi ni mnywaji wa pombe aina zote kuanzia laini sana kama castle lite,redds mpaka zile kali sana kama grants,konyagi yaani sprits,vodka,whisky lakini nakunywa sana chai,
Siku ambayo sijanywa pombe naweza kunywa chai hata chupa nzima, Siku nikinywa pombe kama ni usiku basi asubuhi nikiamka ninakunywa sana chai,je hali hii inasababishwa na nini? na je kuna madhara yeyote kwa mnywaji wa Pombe kama mimi kunywa sana chai?.....
Nawasilisha..
Mimi ni mnywaji wa pombe aina zote kuanzia laini sana kama castle lite,redds mpaka zile kali sana kama grants,konyagi yaani sprits,vodka,whisky lakini nakunywa sana chai,
Siku ambayo sijanywa pombe naweza kunywa chai hata chupa nzima, Siku nikinywa pombe kama ni usiku basi asubuhi nikiamka ninakunywa sana chai,je hali hii inasababishwa na nini? na je kuna madhara yeyote kwa mnywaji wa Pombe kama mimi kunywa sana chai?.....
Nawasilisha..