Mimi ni mnywaji mzuri wa pombe laini na kali lakini napenda sana chai...je kuna madhara?

Mimi ni mnywaji mzuri wa pombe laini na kali lakini napenda sana chai...je kuna madhara?

pyombe.jpg
mmmmmmmmmmmmmmmmmm2.jpg
pombe.JPG
leader_pombe_kali.jpg
images.jpg
leader_pombe_kali.jpg
gpombe.jpg
376259_182601958537637_1767334260_n.jpg
apombe.jpg
faPombe.jpg

 
Hongera mkuu, tena nakushauri uache kunywa chai kabisaa na hizi pombe laini. We kunywa spirits tena bila kula na uachane kabisa na masuala ya kula kwani ukinywa spirits bila kula ndiyo unapata raha zaidi na nguvu za hajabu. Narudia tena, hongera.

hahahhhahahaaah nimechk sana
 
Kama kuna kitu kimoja nakichukia duniani, ni pombe, imeharibu maisha ya watu watatu niwapendao. Kiasi imeanza kuwa kama tatizo la kisaikolojia, nikiona mtu wangu wa karibu kanywa pombe, nahisi kutapika kabisa.

Naichukia na kuogopa pombe kuliko hata Ukimwi.

Ayaa sasa Fyatanga unafuata nini.
Obhebhe nkima!!!
 
majanga haya,. Mlevi na chai wapi na wapi!!
 
Back
Top Bottom