Huu si muungano Bali ni dhulma za wazi kabisa upande mmoja dhidi ya upande mwingine wa muungano, kwanini tuendelee kuwadhulumu? Tusivunje muungano kila upande uendeshe mambo yake? Tumeunda tume tupate maoni ya wanainchi, wametaka serikali tatu CCM hawataki, hii ina maana gani kama sio CCM kuendeleza dhulma dhidi ya Zanzibar kwa kuwatumia vibaraka wachache walioko huko, nasema Kama tume watanadili maoni ya wanainchi bora muungano ufe