Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Wakuu....
Nimeamua kushuka hapa Tinde, nilikua safarini kuelekea huko kijijini kwetu kutoka Daslam nilipo vunja udugu wa dam, baada ya kuona sitendewi haki ugenini.
Na baada ya kuuza ng'ombe zangu 12, nikaona niwakomeshe kwa kuenda kulala stendi ili niondoke nyumbani kwao.
Sasa lengo na madhumini ya waraka huu ni kwamba....
Natafuta Ashura wangu anifanye kichaa kwa miezi mitatu...😜
Nimeamua kushuka hapa Tinde, nilikua safarini kuelekea huko kijijini kwetu kutoka Daslam nilipo vunja udugu wa dam, baada ya kuona sitendewi haki ugenini.
Na baada ya kuuza ng'ombe zangu 12, nikaona niwakomeshe kwa kuenda kulala stendi ili niondoke nyumbani kwao.
Sasa lengo na madhumini ya waraka huu ni kwamba....
Natafuta Ashura wangu anifanye kichaa kwa miezi mitatu...😜