Chizi wewe. Wahi Mirembe.Wakuu....
Nimeamua kushuka hapa Tinde, nilikua safarini kuelekea huko kijijini kwetu kutoka Daslam nilipo vunja udugu wa dam, baada ya kuona sitendewi haki ugenini.
Na baada ya kuuza ng'ombe zangu 12, nikaona niwakomeshe kwa kuenda kulala stendi ili niondoke nyumbani kwao.
Sasa lengo na madhumini ya waraka huu ni kwamba....
Natafuta Ashura wangu anifanye kichaa kwa miezi mitatu...π
View attachment 2237543
Dah....hiyo mbona kawaida Sana huku kwetu. Kuna mdudu anaitwa bunye mwanaume ukimkanyaga tu....unapotea hata mwaka....Ni kawaida tu....na kila mtu anajua π€£π€£π€£π€£π€£Wakuu....
Nimeamua kushuka hapa Tinde, nilikua safarini kuelekea huko kijijini kwetu kutoka Daslam nilipo vunja udugu wa dam, baada ya kuona sitendewi haki ugenini.
Na baada ya kuuza ng'ombe zangu 12, nikaona niwakomeshe kwa kuenda kulala stendi ili niondoke nyumbani kwao.
Sasa lengo na madhumini ya waraka huu ni kwamba....
Natafuta Ashura wangu anifanye kichaa kwa miezi mitatu...π
View attachment 2237543
hahahaa diwani chibokooNikweli mkuu...
Lakini diwani amenizidi...π€£
huyo hapoWakuu....
Nimeamua kushuka hapa Tinde, nilikua safarini kuelekea huko kijijini kwetu kutoka Daslam nilipo vunja udugu wa dam, baada ya kuona sitendewi haki ugenini.
Na baada ya kuuza ng'ombe zangu 12, nikaona niwakomeshe kwa kuenda kulala stendi ili niondoke nyumbani kwao.
Sasa lengo na madhumini ya waraka huu ni kwamba....
Natafuta Ashura wangu anifanye kichaa kwa miezi mitatu...[emoji12]
View attachment 2237543