Mimi ni muumini wa mfumo Dume

Mimi ni muumini wa mfumo Dume

Gwajima

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2018
Posts
253
Reaction score
406
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
 
Wahenga tumebaki wachache sana ktk hiki kizazi cha 4, sujui sababu ni nini hadi tunapungua kwa kasi sana.

Au ndiyo mwisho wenyewe huu wa dunia
emoji848.png
 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafanari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.

Ni mawazo yangu, naomba sana Moderator usiyapige rungu.
Sawa Baba Askofu, tumekusikia. Tunasubiri tu ubadili tena gia angani na kuunga mkono chanjo uliyo ipinga kwa nguvu zako zote. Maana kiukweli wewe ni kiumbe kigeu geu na kisicho tabirika.
 
Wahenga tumebaki wachache sana ktk hiki kizazi cha 4, sujui sababu ni nini hadi tunapungua kwa kasi sana.

Au ndiyo mwisho wenyewe huu wa dunia [emoji848]
Mkuu tupo pamoja ondoa shaka, na tunasimama na mtoa mada.

Haya mambo yao ya haki sawa watakuwa wanaambiana huko huko kwenye viwanja vyao ila kwa upande wa misimamo yetu juu ya nafasi za juu kabisa kiuongozi ni za mwanaume na si mwanamke.

Pia tunavyo wasomesha na kufanikiwa kupewa hizo nafasi hakika hawatakiwi kukaa pale juu.
 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafanari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.

Ni mawazo yangu, naomba sana Moderator usiyapige rungu.
Wanawake hawawezi bila kuwezeshwa
 
Mkuu tupo pamoja ondoa shaka, na tunasimama na mtoa mada.

Haya mambo yao ya haki sawa watakuwa wanaambiana huko huko kwenye viwanja vyao ila kwa upande wa misimamo yetu juu ya nafasi za juu kabisa kiuongozi ni za mwanaume na si mwanamke.

Pia tunavyo wasomesha na kufanikiwa kupewa hizo nafasi hakika hawatakiwi kukaa pale juu.
Umenena vyema mkuu
 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafanari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.

Ni mawazo yangu, naomba sana Moderator usiyapige rungu.
Gwajima wa JF uko sahihi. Hongera kwa ujasiri wa mada hii. Wala huhitaji kujieleza, kujitetea maana hoja yako ni kweli. Na ukweli ni mchungu tena unauma.

Mamlaka zote, au uongozi hutoka kwa Mungu aliye juu. Na yeye ameweka wazi katika Biblia (ile wanayotumia kuapa hao viongozi): KAZI YA KUONGOZA NI MWANAUME

Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako.
Isa 3:12 SUV




 
Mada imenikuna hii, mwanamke ni mwanamke tu, 2025 tusimamishe mwanaume, na tusirudie kosa kuweka makamo mwanamke, hivi kweli mwanaume anampigia saluti mwanamke?

Tunakuwa kama hatujafunzwa adabu? Hii ni bahati mbaya ilitokea ila baada ya kumaliza miaka ya urithi arudi kwao akalee wajukuu.
 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.

Ni mawazo yangu, naomba sana Moderator usiyapige rungu.
Sisi wanaccm wooote mkoa wa Unguja Magharibi tutampa kura zetu zooooote mh Dr Freeman Mbowe awe Rais wa Tanzania mwaka 2025, watake wasitake Mbowe lazima awe Rais.
 
Back
Top Bottom