Sisi wanaccm wooote mkoa wa Unguja Magharibi tutampa kura zetu zooooote mh Dr Freeman Mbowe awe Rais wa Tanzania mwaka 2025, watake wasitake Mbowe lazima awe Rais.
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.
Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.
Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.
Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Eti mwenyekiti wa sisiemu ni wamtu... True ndio anaamua mwelekeo wa chama!!
shetani mwenyewe hupenda kupitia kwa wanawake anaamini nirahisi kuwahadaa!!
ndomana wanawake huanguka mapepo Sana wakati wanaume hata jambazi,bakaji ningumu kuombewa likapandisha mapepo.
siafiki kiongozi wa juu kuwa mwanamke... Sitaki hata kusikia
Gwajima wa JF uko sahihi. Hongera kwa ujasiri wa mada hii. Wala huhitaji kujieleza, kujitetea maana hoja yako ni kweli. Na ukweli ni mchungu tena unauma.
Mamlaka zote, au uongozi hutoka kwa Mungu aliye juu. Na yeye ameweka wazi katika Biblia (ile wanayotumia kuapa hao viongozi): KAZI YA KUONGOZA NI MWANAUME
Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako.
Isa 3:12 SUV
Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako.
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.
Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.
Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.
Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Labda unge define “Revolution ya maana” ili tuanzie hapo. Maana naona umejifungia kwenye kiroba na umejiandaa ili kila mfano utakaopewa useme hiyo sio”revolution ya maana”
Wazo zuri sana ila hao viongozi wanaume wasiwe wamezaliwa na wanawake, maana wakiwa wamezaliwa na wanawake pia wataambukizwa udhaifu wa kike.
Cha msingi kuanza kuwaandaa wanaume ngangari ili waweze kuwekewa ujauzito ili watoe pyua breed , yaani mbegu dume bora bila unajisi wa wanawake.
What a pathetic excuse for a man you are!
Eti mwenyekiti wa sisiemu ni wamtu... True ndio anaamua mwelekeo wa chama!!
shetani mwenyewe hupenda kupitia kwa wanawake anaamini nirahisi kuwahadaa!!
ndomana wanawake huanguka mapepo Sana wakati wanaume hata jambazi,bakaji ningumu kuombewa likapandisha mapepo.
siafiki kiongozi wa juu kuwa mwanamke... Sitaki hata kusikia
Wazo zuri sana ila hao viongozi wanaume wasiwe wamezaliwa na wanawake, maana wakiwa wamezaliwa na wanawake pia wataambukizwa udhaifu wa kike.
Cha msingi kuanza kuwaandaa wanaume ngangari ili waweze kuwekewa ujauzito ili watoe pyua breed , yaani mbegu dume bora bila unajisi wa wanawake.
What a pathetic excuse for a man you are!
Yaa mnyaazi hakuwahi kuweka mwanamke kuwa mfalme, labda kwenye karama nyingine.....lakini siyo kuwa mfalme wa taifa. Fuatilia historia ya wafalme wa Isreali kama utakutana na jina la mwanamke.........laana nyingine tunajitakia.
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.
Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.
Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.
Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Hao sio famous locally bali worldwide..., na kama ni kipindi hicho cha mfumo Dume wa kweli hao waliweza kuwa viongozi ije kuwa leo ambapo watu wanapewa uongozi sio sababu ya uwezo wao bali kujaza nafasi za kijinsia....
Kwa hilo mimi sikubaliano tusiangalie fulani ni jinsia gani bali uwezo wa fulani kama unakidhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.