Mimi ni muumini wa mfumo Dume

Mimi ni muumini wa mfumo Dume

Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Wewe kasome nini alifanya golder meir,indira gandhi na angela merker

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Eti mwenyekiti wa sisiemu ni wamtu... True ndio anaamua mwelekeo wa chama!!
shetani mwenyewe hupenda kupitia kwa wanawake anaamini nirahisi kuwahadaa!!
ndomana wanawake huanguka mapepo Sana wakati wanaume hata jambazi,bakaji ningumu kuombewa likapandisha mapepo.
siafiki kiongozi wa juu kuwa mwanamke... Sitaki hata kusikia
 
Gwajima wa JF uko sahihi. Hongera kwa ujasiri wa mada hii. Wala huhitaji kujieleza, kujitetea maana hoja yako ni kweli. Na ukweli ni mchungu tena unauma.

Mamlaka zote, au uongozi hutoka kwa Mungu aliye juu. Na yeye ameweka wazi katika Biblia (ile wanayotumia kuapa hao viongozi): KAZI YA KUONGOZA NI MWANAUME

Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako.
Isa 3:12 SUV




"MWANA MUME NI MCHUNGA ..." Yaweza kuwa kazi aliyowapa BWANA MUNGU WENU IMEWASHINDA.!!!!!!!!! Hivyo mtulie sindano iwangiiieee taratibu
 
The bitter truth ni kwamba Marekani japo ni waumini wa gender equality ila kile kiti cha urais ni ngumu sana kwa mwanamke kukikalia kile kiti
Hata wanawake walio bungeni huko ni wachache sana, hawachaguliki. Huku tunaaminishwa kwenye upuuzi wa 50/50!
 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Labda unge define “Revolution ya maana” ili tuanzie hapo. Maana naona umejifungia kwenye kiroba na umejiandaa ili kila mfano utakaopewa useme hiyo sio”revolution ya maana”
 
Wazo zuri sana ila hao viongozi wanaume wasiwe wamezaliwa na wanawake, maana wakiwa wamezaliwa na wanawake pia wataambukizwa udhaifu wa kike.
Cha msingi kuanza kuwaandaa wanaume ngangari ili waweze kuwekewa ujauzito ili watoe pyua breed , yaani mbegu dume bora bila unajisi wa wanawake.
What a pathetic excuse for a man you are!
Wewe ni mme wa bibi Samia?
 
Eti mwenyekiti wa sisiemu ni wamtu... True ndio anaamua mwelekeo wa chama!!
shetani mwenyewe hupenda kupitia kwa wanawake anaamini nirahisi kuwahadaa!!
ndomana wanawake huanguka mapepo Sana wakati wanaume hata jambazi,bakaji ningumu kuombewa likapandisha mapepo.
siafiki kiongozi wa juu kuwa mwanamke... Sitaki hata kusikia
Uko sawa kabisa kiongozi
 
Kuweka mwanamke pale Ikulu naamini tumemuudhi sana Mnyaazi, lazima tulipie kwa mapigo makali.
 
Wazo zuri sana ila hao viongozi wanaume wasiwe wamezaliwa na wanawake, maana wakiwa wamezaliwa na wanawake pia wataambukizwa udhaifu wa kike.
Cha msingi kuanza kuwaandaa wanaume ngangari ili waweze kuwekewa ujauzito ili watoe pyua breed , yaani mbegu dume bora bila unajisi wa wanawake.
What a pathetic excuse for a man you are!
Naona elements za ushoga ndani yako
 
Kuweka mwanamke pale Ikulu naamini tumemuudhi sana Mnyaazi, lazima tulipie kwa mapigo makali.
Yaa mnyaazi hakuwahi kuweka mwanamke kuwa mfalme, labda kwenye karama nyingine.....lakini siyo kuwa mfalme wa taifa. Fuatilia historia ya wafalme wa Isreali kama utakutana na jina la mwanamke.........laana nyingine tunajitakia.
 

1. Cleopatra VII (Leader of Egypt)

2. Wu Zetian (Leader of China)

3. Joan of Arc (Leader of France)

4. Catherine II (Leader of Russia)

5. Queen Victoria (Leader of England)

6. Eva Perón (Leader in Argentina)

7. Rosa Parks (Leader in United States)

8. Indira Gandhi (Leader of India)

9. Margaret Thatcher (Leader of Britain)

10. Angela Merkel (Leader of Germany)

 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.

Kinachoongoza nchi ni uwezo wa kiongozi kiakili na fikra, busara na hekma sio uke wala uume
 

1. Cleopatra VII (Leader of Egypt)

2. Wu Zetian (Leader of China)

3. Joan of Arc (Leader of France)

4. Catherine II (Leader of Russia)

5. Queen Victoria (Leader of England)

6. Eva Perón (Leader in Argentina)

7. Rosa Parks (Leader in United States)

8. Indira Gandhi (Leader of India)

9. Margaret Thatcher (Leader of Britain)

10. Angela Merkel (Leader of Germany)

Mwafirika pekee ni Cleopatra, na hiyo ni miaka 5,000 iliyopita! Ungesema Winnie Mandela!
 
Acha weeee! natamani nije hapo kwako nione unavyomwongoza mzee baba....

Sijaongelea kumuongoza mume nimeongelea kuongoza kwa ujumla.

Btw hata wajane wanaongoza familia zao vizuri tuu na watoto wanakua wa kujielewa wakati mwingine kuliko hata baadhi ya zile zenye wanaume walio hai.

Usimdharau mwanamke aliyekuongoza kuanzia kujua matumizi ya mwili wako na viungo vyake hadi kufikia hapo
 
Mwafirika pekee ni Cleopatra, na hiyo ni miaka 5,000 iliyopita! Ungesema Winnie Mandela!
Hao sio famous locally bali worldwide..., na kama ni kipindi hicho cha mfumo Dume wa kweli hao waliweza kuwa viongozi ije kuwa leo ambapo watu wanapewa uongozi sio sababu ya uwezo wao bali kujaza nafasi za kijinsia....

Kwa hilo mimi sikubaliano tusiangalie fulani ni jinsia gani bali uwezo wa fulani kama unakidhi
 
Back
Top Bottom