Mimi ni muumini wa mfumo Dume

Mimi ni muumini wa mfumo Dume

Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Wewe sio Gwajima, Askofu, bali umetumia jina ( liwe ni lako au la kujipachika) kwa kusudi lako unalolijua. Haitafanikiwa ndio maana imeandikwa. " Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa. Na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu, utauhukumu kuwa mkosa"
Majeshi majeshi ....
 
Hakikisha unatuza afya namfumo wako dume huoo.mana mfumo wachakula ukivurugwa mkeo atakudharau na utajuta kutumia mfumowako dume

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Kumbe unajaribu kulingana na yule ambaye jina lake unatumia? Pole sana.
Sijui unsoma habari gani, ila: ninamkumbuka Malkia Victoria; chini ya uongozi wake Uingereza iliendelea kuwa milki kubwa kabisa duniani . . . . (ikashinda China, Uhindi, nusu ya Afrika . . . );
ninamkumbuka Angela Merkel wa Ujerumani, alibadilisha uchumi wa nchi yake na kuwa mwanasiasa duniani aliyedumu kushinda maraisa wa Marekani, wa Ufaransa, mawaziri wakuu wa Uingereza . . . .
ninamkumbuka Margret Thatcher wa Uingereza (maarufu The Iron Lady); alileta mapinduzi ya kiuchumi Uingereza, alishinda mfumo dume wa Argentina katika Vita ya Falkland...
ninamkumbuka Golda Meir wa Israel, aliongoza nchi wakati wa vita ya 1973, akashinda mfumo dume wa Misri na Syria...
ninamkumbuka Indira Ghandi wa Uhindi; alitawala miaka mingi akaongoza taifa katika vita dhidi ya Pakistan akashinda mfumo dume kabisa wa Pakistan na kusaidia kuanzishwa kwa nchi mpya ya Bangla Desh
ninamkumbuka Ellen Johnson Sirleaf, aliyeongoza Liberia na kuirudisha uhai baada ya uharibifu wa taifa hilo kutokana na mfumo dume wa vita ya wenyewe kwa wenyewe
Ninamkumbuka Sheikh Hasina wa Bangladesh pamoja na viongozi wa kike wengine wa nchi hiyo
Ninamkumbuka Erna Solberg wa Norwei anayeongoza taifa tajiri la Ulaya akifaulu kujenga hazina ya taifa

je niendelee?
Lakini tuna uhuru wa imani, hata kama imani ni ya kitoto ...
 
Gwajima wa JF uko sahihi. Hongera kwa ujasiri wa mada hii. Wala huhitaji kujieleza, kujitetea maana hoja yako ni kweli. Na ukweli ni mchungu tena unauma.

Mamlaka zote, au uongozi hutoka kwa Mungu aliye juu. Na yeye ameweka wazi katika Biblia (ile wanayotumia kuapa hao viongozi): KAZI YA KUONGOZA NI MWANAUME

Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako.
Isa 3:12 SUV




Kaka tafadhali usiingize siasa yako katika Biblia! Aya unayoleta haina chochote kuhusu nani anafaa kuongoza. Ni dhahiri Isaya alirejelea viongozi ambao hawakufaa, na kati yao pia wanawake. Hasemi chochote unachodai.
Katika Biblia tuna habari za viongozi wa kike wanaosifiwa, kama Malkia wa Sheba, nabii wa kike Debora...
 
Sisi wanaccm wooote mkoa wa Unguja Magharibi tutampa kura zetu zooooote mh Dr Freeman Mbowe awe Rais wa Tanzania mwaka 2025, watake wasitake Mbowe lazima awe Rais.
aaa!! weweee!! wee uliskia wapi?

ccm hata wakisimamisha shoga, linakuwa rais tuu, hakuna namna.

namna ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi tuu.

vinginevyo mtasubiri sana.
 
Mkubali msikubali 2025 tunataka rais mwanaume
 
Nchi Yetu Changa Ila Watu wa Nje wanatuletea Mambo yao Ya Kijinsia. Wao wamezijenha Nchi zao na Kuweka Misingi Imara Hata Aje Raisi Gani Atapita Kwenye Hiyo Misingi ss tunaiga iga tu
 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Ubarikiwe mkuu, ujumbe umefika. Anaebisha ahamie Burundi[emoji1]
 
Jikaze tu, mama tunaye sana panapo uhai. Tutampa tena na tena.
Miaka yote mliyotuongoza wanaume mmefanya maajabu gani?
Karibu kuwauliza K wenzako ndio utajua hawamtaki. Kati ya watu nilikuwa nawaona wasomi na very smart ni mama lakini kanidisapoint Sana mimi kama mpiga kura wake; niweke tu wazi mpaka sasa nina miaka 40 na kwa mika 21 sokuwahi kupiga kura hata siku moja isipokokuwa awamu iliyompa mama ukuu
 
Sijaongelea kumuongoza mume nimeongelea kuongoza kwa ujumla.

Btw hata wajane wanaongoza familia zao vizuri tuu na watoto wanakua wa kujielewa wakati mwingine kuliko hata baadhi ya zile zenye wanaume walio hai.

Usimdharau mwanamke aliyekuongoza kuanzia kujua matumizi ya mwili wako na viungo vyake hadi kufikia hapo
Nilikuwa nakupa credit Sana lakini kumbe ni 0
 
Mama mwenyewe kakiri hadharani kuwa kafika pale kwa kudra za Mwenyezimungu akimaanisha kuwa bahati imemembeba.
Mwanamke asiye na akili labda mkeo ila sio kila mwanamke hana akili. Na kwa taarifa yako tuu Rais Samia Suluhu Hassan ana akili sana hakufika hapo alipo kibahati mbaya


Umekosea kidogo. Nna watoto5 Mmoja wa baba yako yule usiyemjua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu nilikua nakutafuta sana sasa nimekupata.... ulikoamkia ndiko tulikolalia. Usfikiri kila mtu yuko jf kwa malengo kama yako


Baba yako anajua zaidi.... sio yule ulosingiziwa hapana! Biological father wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mama mwenyewe kakiri hadharani kuwa kafika pale kwa kudra za Mwenyezimungu akimaanisha kuwa bahati imemembeba.
Na sasa anataka umpe kura ili akuonyeshe kwamba yeye ni nani😂😂
 
Wanaume halisi tumebaki wachache sana siku hizi... wengi wamebaki Wana mambo ya kike kike tu
 
Back
Top Bottom