Mimi ni mwembamba sana, nahitaji dawa za kunenepesha mwili

Mimi ni mwembamba sana, nahitaji dawa za kunenepesha mwili

Robot la Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
8,174
Reaction score
16,794
Wadau salam,

Mimi ni mwembamba saaaana, kuna shughuli nataka kuifanya but mtu mnene anaitajika so nataka kupata dawa nijinenepeshe for special job.

Kama unazijua dawa hizo plz naomba msaaada wako.

Thanks in advance
 
WaTz bhanaa... sasa si uuze dili kwa mwenye huo mwili? wee kata % yako rusha dili kwa mwngne kwani hujui riziki mafungu 7?
Au kazana Ofa za bia basi na nyama chomaa... full time wewe ni kula tu..
 
Kula dona na nyama ya kuchoma kutwa mara 5.
Hakikisha nyama unayokula ni nundu ya kuchoma na ugali usiwe chini ya gram 500 ya unga bila kusahau maji baridi ya kunywa. Just 3-4 weeks utakua bonge.
 
Wadau salam, Mimi ni mwembamba saaaaaaana, kuna shughuli nataka kuifanya but mtu mnene anaitajika so nataka kupata dawa nijinenepeshe for special job. Kama unazijua dawa hizo plz naomba msaaada wako. Thanks in advance

Easy mkuu pata mashudu kila Sikh kutwa Mara 3 pamoja na jiwe la chumvi chumvi kama Yale wanayoekewa ng'ombe wanalamba sasa hii dozi yake upate mawe matatu lambaaa yatakapoisha tuletee majibu hapa kwa faida ya wengine,nakutakia mafanikio mema.
 
Pia usisahau mult vitamin injection 14cc kila baada ya wiki 2 yaani lazima uwe BONGE la ukwei
 
Kula dona na nyama ya kuchoma kutwa mara 5.
Hakikisha nyama unayokula ni nundu ya kuchoma na ugali usiwe chini ya gram 500 ya unga bila kusahau maji baridi ya kunywa. Just 3-4 weeks utakua bonge.
ahaahaa, your wonderful indeed. Ugali kutwa mara tano?
 
Easy mkuu pata mashudu kila Sikh kutwa Mara 3 pamoja na jiwe la chumvi chumvi kama Yale wanayoekewa ng'ombe wanalamba sasa hii dozi yake upate mawe matatu lambaaa yatakapoisha tuletee majibu hapa kwa faida ya wengine,nakutakia mafanikio mema.
Hii kiboko duuuh.
 
Hao wanaokushauri ule sana watakutoa kitambi.
Nasikiaga maziwa ya tanga fresh yana nenepesha ebu jaribu kunywa japo nusu lt kwa siku na vyakula vya nafaka kama ugali kwa sana.
 
Duh af mwili ukiwa unauhitaji ndo hauupati kuna bidada mmoja alijiwekea dozi ya chips na kitimoto daily hadi akachoka yupo vile vile.... Pole
 
Wadau salam,

Mimi ni mwembamba saaaana, kuna shughuli nataka kuifanya but mtu mnene anaitajika so nataka kupata dawa nijinenepeshe for special job.

Kama unazijua dawa hizo plz naomba msaaada wako.

Thanks in advance

nitafute kea namba 0766623789 nauza lishe bora kabisa utanenepa
 
Back
Top Bottom