Mimi ni mwembamba sana, nahitaji dawa za kunenepesha mwili

JF wakati mwingine watu mnakuwa na roho mbaya sana.
Kama hujui adhabya kuwa skiny usilete mzaha . Shukuru tu Mungu basi
 
Reactions: naa
Nafikiri dudu inatosha
 
Kwa sasa unafanya kazi wapi maana kufanya kazi kwa watu kama wahindi nako ni sababu ya kukonda maana full stressed
 
Hao wanaokushauri ule sana watakutoa kitambi.
Nasikiaga maziwa ya tanga fresh yana nenepesha ebu jaribu kunya japo nusu lt kwa siku na vyakula vya nafaka kama ugali kwa sana.

Duuuh, kunya tena maziwa ya tanga fresh???
 
Wadau salam,

Mimi ni mwembamba saaaana, kuna shughuli nataka kuifanya but mtu mnene anaitajika so nataka kupata dawa nijinenepeshe for special job.

Kama unazijua dawa hizo plz naomba msaaada wako.

Thanks in advance

Kwanza piga dose ya kuua minyoo kisha Usinywe dawa za kunenepesha bali fanya yafuatayo, anza kula kula ovyo! Usiku jaza lisahani la ubwabwa na maharage ule ukimaliza tu panda kitandani ulale. Chapati, vyakula vya wanga ndo ule kwa wingi na Kama umnywaji wa pombe bia iwe kinywaji chako, chips mayai nazo usizisahau. Acha kufanya mazoezi, punguza mawazo, ukipata muda wa kumpumzika fanya hivyo jitahidi urelaxxxxx
Baada ya mwezi njoo ulete matokeo.
 

Umeishiwa madini ya zinc kula ugali wa ngano tu wa kutosha kila siku na ule nafaka kwa wingi......
 
Umeishiwa madini ya zinc kula ugali wa ngano tu wa kutosha kila siku na ule nafaka kwa wingi......
 
Kama una vinyongo na watu malizana nao kama unaroho mbaya,chuki na wivu jaribu kuacha mara moja kama una madeni jaribu kujisahaulisha kwa mda.
Lizika na maisha yako, pia kwa matokeo ya haraka unashauriwa kula junk foods kwa hasara ya mwili wako
 
Wadau salam,

Mimi ni mwembamba saaaana, kuna shughuli nataka kuifanya but mtu mnene anaitajika so nataka kupata dawa nijinenepeshe for special job.

Kama unazijua dawa hizo plz naomba msaaada wako.

Thanks in advance

Am sure mkuu nilikua hivyo pia mkuu lkn now nipo fit
 
WaTz bhanaa... sasa si uuze dili kwa mwenye huo mwili? wee kata % yako rusha dili kwa mwngne kwani hujui riziki mafungu 7?
Au kazana Ofa za bia basi na nyama chomaa... full time wewe ni kula tu..

...hahahahaaaaa nyama choma full time na bia is possible; issue atafika bei.?!
 
Yaap saga ngano fresh usiikoboe hata kidogo amka asubuhi songa ugali huo na mchana pia acha kula chapati na misosi yote ya kukobolewa km sembe haina tija zinc inasaidia pia kupata very strong ere**n
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…