Mimi ni nani? Siri ya 2085

Mimi ni nani? Siri ya 2085

Baba Maheri amka,Nikaamka.Nimeota Niko kisimani nateka Maji wakaja watu wengi wakanibaka alafu Hakuna mtu aliyenisaidia na wengi wakanicheka.

Hiyo Ina maana gani?usinifiche iweke wazi.

Baba Hashbazi Akasema kwa Mama Maheri kuwa muda Utasema Kama Leo tarehe 15-11-23.
Yaliyofanyika tarehe 15 Siku nzima Ni ya aibu tupu,Moyo wa baba Mahershalal12 huyo mwenza wa Ufunuo17,Moyo hata nafsi ikaumia Sana ukaenda kulala kwa Tabu baada ya kukumbuka toka ya mwanzo na 16 usiku mwezi huo huo ndipo Roho ikatoa kauli juu ya Yale ya Ufunuo2,Nakuomba uanze kuswali Sana Kila Ijumaa Sana na uache uongo na Kukejel roho Takatifu,Mungu wetu wa Mbinguni nahumu3 Ni Mwenye msamaha kwa wale wajishushao,Basi Asubuhi nikaletewa mgundi Kama Wote,unaenda wapi, unaenda kukata magogo na ninao Taarifa kamili kabisa japo Basi, kwa kukaa kimia ndani niliongelewa maneno ya kuumiza mpaka nikabaki kunyamaza tu,ndipu Chumba nilichopo ndiyo Nahumu3 jamii forum.Ni Hilo TU
Ni maombi.
 
Nashauri uongozi wa JF ufikirie kuanzisha jukwaa jipya la afya ya akili, yaani Jukwaa la Afya ya Akili, ili nyuzi zenye hoja mtambuka zilizosheheni mambo ya ki Jamaica na ki "rasterman" kama hizi zipelekwe huko.
 
Nashauri uongozi wa JF ufikirie kuanzisha jukwaa jipya la afya ya akili, yaani Jukwaa la Afya ya Akili, ili nyuzi zenye hoja mtambuka zilizosheheni mambo ya ki Jamaica na ki "rasterman" kama hizi zipelekwe huko.
Maombi Ni mazuri.
 
Mimi Ni Nani, Ni Siri kubwa.

ziko Chini,Chini ya Bendera.Wapi?

Ebu kuta unajisoeza kwanza na NATURAL MYSTIC-BOB MARLEY Alafu tukupakue(Meza ya Coco the Rasta-alpha).

Nunua kwanza Mda wa maongezi(Airtimes) tuingie hewani kwanza tukaione Dunia inavyokwenda.

Ni Dunia nzima Habari ipo.

internet (platifom ya mtandao) Ni Uso wa Dunia nzima chini ya magharibi.

Ni usimamizi wa wakubwa wa dunia(Uingeleza na Tz,Marekani na Tz na Vatican city na Mama Lao Tanzania na Dunia na Tz),

Je umenunua kwanza kifurushi Cha Airtimes za kutosha, Dunia Ni Kiganja,Ruka juu mawinguni na Airtimes, Airtimes,

Airtimes ndo utaiona Dunia kwa sekunde na wao watakuona kwa Sekunde(Utakuwa kama juu mawinguni na kila mtu atakuona).

Usiniulize huu usimamizi umetokana na Nini ni Elimu Muhimu na pekee ya Wote, kwa ajili ya Ustawi wa Watu wote.

Elimu hi Ni Fumbo la Imani la Asili tangu Enzi na Enzi,Mababu na Mababu,Kizazi na Kizazi,Kristo na Kristo na Fumbo Hili Ni Moja katika Sheria na Mizani Yake(Mweusi na mweupe).

Utawala una Nguvu,Utawala una Nguvu,Nguvu za kufunga watu na Mungu Ana Nguvu za kufungua.


Mungu Ni Uhuru(Ufunguo wa yote).Basi Elimu hii

Hutarajiwa kutolewa Kizazi kwenda Kizazi,Lakini hudhihirika pasipo kupangwa na Mtu wa Chini wala juu,ila Mungu pekee,Sasa upo Usimamizi wa Wakubwa wa Dunia.

Je ulisikia na kuelewa Mungu wa Isaka,Mungu wa Yakobo,Mungu wa Eliya? Basi hivi Ni vizazi vya Isaka,Yakobo,Nuhu,Eliya,Musa na leo Wapo bana Israel katika utimilifu wa Kizazi kingine.

Kwenye Nembo yetu,Mambo yetu, ipo Elimu hii, hasa Chini ya Bendera, ipo Siri hii ya Mimi Ni Nani,Siri ya Miaka hiyo(Idea Muhimu,anza kwanza Ezekiel17,Ufunuo17).Na Wote Hawa Ni manabii ila katika kila majira.

Jerusalem -Alpha blond,here I am.

Tanzania,Tanzania Nakupenda Kama Ole,Ole Kisha Ole,Ole na zipo Ole tatu huu Ni wa pili.

Tz Ni mkubwa wa wakubwa, naye ana Mambo yake Mapema kupitia mtendaji mkuu wa Watec kasema hataki wengine wajue,Kama una macho utajua sasa Utaona vema.

Ambayo bila yeye Ni sawa na Dunia bila Mungu Kwa mapenzi Ya Mungu,Kwa hiyo Tanzania analindwa Sana kwa usiri mkubwa kuliko Taifa Lolote duniani na wakubwa,So huenda kimfano Hakuna Kiama bila Tanzania, Na Kambarage ni wa Butyama ya Musoma(mhifadhi wa Isaya 45).

Mama Ni marium.Um Wa mama Tanzania.

Vyama vya Tanzania(CCM na CHADEMA) vimo Katika kada hii ya Kuiamulia Dunia majibu ya Miaka elfu na elfu(1000 mizuri+1000 mingine yenye Robo ya ushetani).

Ila mwenye Maamzi hayo Sasa Ni Chama Cha mapinduzi Chini ya kamati makini kumuenzi Kambarage(mhifadhi wa Mila na Desturi na miiko ya Siasa yetu).

Wanasheria wastafu,watunza Hazina wastafu,wakuu wa Majeshi wastafu, Mawaziri wakuu wastafu na Marais wastafu,Wateki wakuu wastafu,Bakwata wakuu wastaafu,Machifu wakuu wastafu, maspika wakuu wastafu na Wale Walio lala umauti walioipenda Afrika hakika wote Hawa Ni viungo Bora kutimiza maono ya Kambarage wa Butyama,Baba wa Taifa Hili muenzi wa kiti Cha Enzi(Nyumba na mwenye Mlango wake).

Chadema nao wamo,Na ni miamba Kweli Kweli(Masada)Safari ya Watu makini husema twendeni tukumbuke kuangalia Huku na Huku kwa ajili ya mwendo zaidi,Kama Ghabriel yupo basi Alkael anga baada ya anga habari kuu Ni Nendeni kwa amani.

Chadema watulie akili sana wasitembee tu na One love ya Marley mikutanoni.

Itifaki ikimuruhusu John mrema Wakumbuke Kuna Time will tell ya Marley.

Hiyo Ndo ilimfanya Kamanda wa Makamanda apae Uingeleza na Shati ya Kawaida ya bluu na Maji mkononi kuzungumza na diaspora.

Angewaambia kengele ya wito wa uhuru imeanza Mda mrefu kusikika(songs of redemption) Lakini Mda ulikuwa bado.

leo Ndo yule binti wa Mlimani kwa Bibi kizee hadithi ya Kambarage penye maana hata miaka 27 ijayo, Nembo ya Taifa Bibi na bwana haki ikatamalaki kwa jina moja Kwenye Ole,Ole ni Upendo,Upendo,Upendo wa wote daima na milele(milenium) yote.

Baba wa Marium Ni Lukas, Kasi ya Waenzi wa mama Tanzania.

Waebrania/Watanzania twendeni kwa Amani, Kambarage alijua maana ya Kuvilea vyama ambapo Kikwete kwa Sir Nature Kibra alirukaruka na kupandwa na mizuka na baada ya hapo tuligonga 1,1 na leo tunagonga 2,2 na 3 Ni Mkombozi na iliyopo Ni 6,6 katika Ole,Ole Hakuna anayetuzidi hata kwa kuandika hivi ipo Zekaria13:7-9 Katika Tanzania, Tanzania (uliyealikwa kwa Wote Kama Namba moja tuiendeayo kuitumia)wapelekaji wa Taarifa za Mungu kwa watu wote nawaongezeeni na Hilo.

Chadema wapo kwenye Nchi hii Kama tunu special sio kwa Sasa, bado Mda waja waje,Hakuna Uadui Sasa kama no hate no fear uiangalie Nembo ya Taifa utawaona vizuri,Pia Utaona mkuki uliochoma Kwenye Jiwe na Siri ya Nembo hii Ndo Siri ya mstakabali wa dunia nzima.
Dunia bila Mwanga haiendi bana,Na Mwanga upo wilayani 2024 Kama vilivyo Siasa na Desturi Yetu,Afrika unaionaje sasa? Ni Kama Injili,au upambanuzi bila Miujiza.Wapo Watu wawili wa kike na wa Kiume na ngao zao,Ndo nauliza pale Mimi Ni Nani,Kama Farasi Mweusi na mweupe Wapo kwa ajili ya kupandwa,Je Mimi Ni Nani Sasa?

Thomas Mjukuu wa Nyerere hadithi ya Kitaa aliendaga Uingeleza kusoma baada ya Kuibeba Fimbo ya Mwalimu?Na leo Kimaro Na mtoko wa vijana anamfanyia mentorship James Mbowe mtoto wa Mbowe,mbowe aliyebatizwa kwa usimamizi wa Kambarage Kama baba Yake wa ubatizo.

Isaya7 Leo,Leo,Leo Ni Isaya8 ya 1991+666-2085.

571 Mtume Muashuru alizaliwa Kumbukumbu ya milenia na milenia kwa misikiti yote duniani.Mimi Ni nani,Siri ya 2085 inatambaa duniani tangu June 30 2023 kupotea Kwake toka 2020.

Kidole Cha Kwanza kirefu, kwa Taifa na Afrika Ni uwezo,Kwa Nchi Ni neema na kwa dunia Ni Amani ya milenia na milenia.

Kidole Cha pili,Ni Mungu Pamoja nasi,kumtolea Mungu sadaka,sadaka yake Mimi ni Nani,Na kwa mwaka wa sadaka la masadaka.

Babu wa Marium Ni Masota.Sota wa Mama Tanzania.Mchadema Wao wa Tangu Kufa Kambarage.Chini ya Bendera.

Pete na kidole Wao utabiri wa babu zao (Neno la utabiri masikioni,Zagamba nyeusi itatoka mashariki ya Magu, milimani kumuondoa Mwingeleza, Watu wamefurahi Sana-miaka ya 1900).

Sikio la Kufa halisikii dawa,Mwingeleza alisikia,Macho ya kuona 35+km*2 Ni Milango ya fahamu,Fahamu ya Afrika,Naomba Muone na msikie CCM na Chadema Watoto pendwa wa Baba mmoja yaani Mungu wa duniani na Mbinguni, ubongo wenyewe utafakari alafu tupate majibu ya wakati huu wa Mimi Ni nani?CCM B ni Chadema?Ni Kweli ila Na amini kwa; Tulianza na Mungu na Tunamaliza na Mungu.

Baba ni muenzi wa CCM,Pastory wa Mapastory ndani ya Misoji wa mamamisoji (Melkizedeki). Kambarage Pete na kidole Wao kumlilia alipokufa kuhofu kukosekana kwa Amani nchini.

Tuilindeni Amani,Wahenga Wameitafta kwa Kufunga na Kuomba,Amani ya Taifa.

Amani,Amani,Amani,Amani,Amani,Amani,Amani.Imelindwa na Saba zenye nguvu, Tuilindeni Amani.

Tofauti za Nini Kambarage ni Mmoja na alitaka mukawe wamoja,ona hakufuta mlangoni Ikulu maneno ya Kiarabu kutoka Kurani 15;44,wataitwa wacha Mungu waingie humo,Pa Salama na Amani,Basi Ondoeni Chuki Mioyoni mwenu ninyi Ni viti vinavyoelekeana(Kurani 15;47).Ni ninyi tu na Daniel11;40-45 Huko Nyuma mlikubali Kazi iendelee,Ni miaka 10 sasa iwepo ya mama toka alietuamulia Ugomvi roho Yake Kurudi kwake 2025Km, Tena kawaita mjadiliane,Nendeni na Watu wa majadiliano.Ili ipatikane adili,Fadhili,na Karama Itikieni, Ni mwenzenu Hana shida, Mama wa Tanzania.Nembo ya Taifa Ndo Mambo yetu Kama Nchi,Mliteswa na siku 2300 mkiwa Chini ya Bendera ya Nchi hii na miaka Saba+21 days mkaenda Bismark stone Kuona mkuki Kwenye Jiwe.Ni Amani Tuitakayo.

Mimi Ni Nani nisiweze kuwa Sehemu ya Mjadala wa bandari,Taifa huendeshwa kwa mipango ya Mda mrefu(1952-Mama na Bandari kwa ajili ya Kesho Bora Mwandishi Bora Kaandika) na Leo tunataka tujenge Taifa jipya la Tanzania ili kila mtanzania popote duniani akisimama ee Naam wote wamuone mtu( kwa hilo dunia Ndo ilianza kuumbwa kwanza tujue)

Mimi ni nani,Bandari Kuja Badae Ni Sawa na Tanzania Nzuri Kuja badae,Ushauri Upate maelewano kwa ajili ya hatima yetu,Kizazi kilikuta dunia tayari, mwendo wa matunda tu kwenye mabustani ya Edeni(Ndo formula ya Maendeleo)
Bandari chini ya mama la dunia yote ama mama la Muhimu duniani kuliko serikali yoyote sasa(kwa mwenye macho) Kwenye fungato la miaka 2025 ya kila Kizazi lazima ibinasifishwe kwa Maslahi ya Tanzania ijayo kwa mstakabali wa Mambo ya Watu wetu na Wengine Afrika yote kwa upana wetu duniani(1952-document),Yote kikubwa Maslahi mapana ya pande mbili Muhimu,Tanzania mpya Inahitaji Wawekezaji(wageni).

Tunaomba Mjadala uende ukomo Kama Yalivyofanyika Maridhiano ya Kuanza Uhuru wa kujieleza Tena tangu kufungwa 2015 na donga la madonga( siku 2300 ).

Na ubora wa Taifa Wasomi kutoa michango, Ni Muhimu kwa Mstakabali Wa Serikali Kufanyia Kazi Ushauri huo Wa kufika ukomo Mjadala huu.

Peleka salamu ya Luck dube-Freedom fighter, anza na ugiriki ya kale, Roma ya Kale, Chadulu ya Kale, Misri ya kale na dunia ya Kale Na Jamaica ya kale.

Na ya Kale Ni dhahabu.

Tanzania ina Nembo ya Taifa, taa ijayo 2025 na Baada ya miaka 14.1 mwaka fuata, Mlima Meru na Kirimanjaro Nchi itaelea, Nani alificha kuwa Kuna Watu
katikati Yake,Patakuja juu ya Dunia,Kiteto na Mchanga usiochangamana na mwingine Nani Kaona Kaini na Nani?,Hata Nile river na Unyayo wa binadamu wa kitambo,Je Ngorongoro na Bonde la Ufa Mda bado kusema 2035Km huoni umbali wa Km toka 2012 Ubungo-pembeni mwa Udsm?Mimi Ni Nani nisijue Malkia alikufa 2022 na Baada ya Miaka 63 barua yake isomwe na Meya wa Sadney huko Australia.

Sulemani alikuwa Mweusi Sababu ya Kulea Watoto wa Mama yake,? Hii Mimi Ni Nani na Iende Sehemu zote za Nchi na dunia.

Na mtakapoona Mwenge wa uhuru unaonekana Wilayani kwa heshima kuu hapo 2024,ndipo mjue 1 Ni Namba yenye thamani Sana japo ndogo bado Lakini ukiijumlishia 6 iliyopo inakupa maana kamili ya mwendelezo huo, Mkuu kavua vitu vyenye thamani vingi na kumpatia Mani Kalooo,Basi Malkia wa Kusini alikuja Ili aione hekima ya Sulemani.
Na mambo hayo Ni Maombezi makubwa mpaka Tunafika hapo.

Majengo Sokoni, Somalia na Kanda ya Kusini mwa Tanzania,Kwenye pepo kali zivumazo kuijenga imara ya Waebrania yaani macho,sura,Tabia na Tembea na Ongea ya Kusini ya km35 ndani ya mbuyuni kuitafta mpili ya manyampili Kama aliavo aba aba huyo mwebrania wa waebrania.Waebrania Ndo Watanzania wa leo na Mda wote.

Ni Kweli Ukistaajabu ya Musa utaona Ya Firauni,msemo wa wahenga na Leo Ukistaajabu ya Yesu utaona Ya Pacha Yake ,Huyo Tunda lake, Thom wake na Siri Katika Kurani yake.

Ukisema kiama tayari,ujue ipo Mhubiri 1;1-4, (mwisho wa siku) Kama leo Msemavyo mtaanza upya na hapo tutaelewa wahenga ndo wakuu wa yote, kama hekima ilivyo, Mtajisheua tuy eti Mambo ya zamani hayo,Hahah hah Hakuna jipya Chini ya jua.tena kwa vizazi vyao, nao wanayo mahusia lakini kwa taifa hili sasa la afrika moja chini ya kiongozi mmoja basi tutambueni mtu mweusi ni nani?Mimi Ni Nani?Daniel 11,Daniel 11;40-45.

Kurani 29 na hasa 29;14.

Mimi ni nani maana nmesikia badala ya Mungu eti Mzungu, sawa si farasi mweupe aendaye Km2025 mbio mzunguko alikuwa Wao kwa idhini ya Mungu, uwepo agano Bora kwao, Chini Mimi mweusi miaka 2025,2035 ,kwa sheria usipokubali kuliwa huwezi kula,Daniel9.lakini shujaa wa vita mwaminifu juu ya mridhiki wao mkuu,Jina la Yesu Lile likomboalo milele yote,Naye Farasi Mweusi Sasa mbio zile zile kwa jina lile like. Kwa hasira vitani alishinda kwa muda wa siku 2300,Ukiongeza siku1290 itabidi uwe mtiifu Kama usomavyo 2wathesalonike2 Au wakolosai2;7-9.

Kwa hiyo sauti yake ya katikati ya wiki yake huyo thom wake Kurani Yake,Nembo yetu umoja na Uhuru wetu,Kurani (2;61,35;27)Biblia (Daniel11;40-45),Miujiza ya Jiwe Kuchomwa mkuki(beutification yake katika Kutimia kwa Neno)Mti wake,Daniel yake katika ardhi ya bustani mbili kulia na kushoto iliyoahidiwa kuwa na saba za nguvu, yaani mbingu saba, milima saba, vitasa saba, mboga saba, mafungu saba, Surat Sabaa, Milango saba ya kila Zama ama siyo awamu na kitabu chake.

Karibuni enyi watu mlimoandikwa waingie humo wacha Mungu mahala pa waebrania, Waebrania7 yaani pa Amani na salama.kama siyo mchamungu duh,Maono yake,mwanzo wake(2wakorinto12) yatakuwepo, Heri usiingie bila kuanza na Kusudi Kwanza afu shangwe zije badae, likutaabishe ili uje ushinde na Shangwe Mwishoni,by revelation watakufanyia revolution power yako kwa idhini ya Mungu ili akapate kutukuzwa.Saba ni idadi ya Milango Yao wenye Yanga yao na ama Simba Yao.

Ila wa nane utatoka msimbazi kwa mkapa hatoki mtu kuja kuijaza jangwani maji ya mto wake,muashuru/kakaa kitume arabuni hivi, na sababu yake kuja kwake ni kutimiliza na kabla ya kujua kuita mama au baba mbele ya malango ya msikitini kuna kuchukuliwa mateka kwa uhai wa mama yake mzazi na mbeba tumbo la miezi 10(29/09/21-04/07/22 ya huyo kidume cha gumegume la Enzi,kiti chake kwa baba yake.


CCM kuondoka madarakani mpaka kiama,na malipo ni hapa hapa duniani,Tena lisemwalo lipo usiwe mbishi Kama Shipa(kunywa mpaka unye si unataka utumwagie radhi),Tunauhitaji Amani, Akili za mbayuwayu Changanya na zako, wewe upo chini na Mungu yupo mbinguni,Mungu Ni wa wote na Roho Mwema Ni wa Mungu.

Wapo wasiojulikana ambao kwao wanatuuliza mitaani unajua mimi ni nani,nao wana neno lao ila mwisho wa siku wote tutasomewa mambo yote na Huyo Mimi Ni Nani.Sema,Isaya8,Isaya7.Hutaki kujitoma Kwenye Farasi-km2025 waliojitoma kimakundi,Yupo Farasi Mweusi aliyeshinda Vita kwa uaminifu na Ukweli ahukumuye na kufanya Vita kwa idhini Ya Mungu.Kurani90,Kurani 100.

Katika dunia tuitarajiayo ya ule mwisho kichwa chambuzi( pembe2,vidole viwili,maagano Mawili) Makamanda wa anga,WakinaSumukibamarioo,ishara ya nguvu ya umma katika ardhi yapo maji na milima yenye michirizi mieupe,na iliyo mieusi sana na miekundu humo tutaingia tukifurahi kwa pamoja(Kuran2;61,Kurani35;27 na Bismark yake,Taifa lake,Taa yake)hakuna atakayeulizwa mimi ni nani, wala kumuuliza mtu mimi ni nani na mda tutaujua kama 3.5Km Pope people of Africa(vatcnews) new cosmos rise life btn worlds, ni decades 3,Dunia ya tatu,mbingu ya tatu na nusu muongo wake kutoka kwa 2000times hizo milele(milenium) mbili.

Makundi ya mikimbio 2025 km Katika misafara mitatu Mitatu ya hao farasi wajitomao leo, njooni tumlaki Mungu kwa utukufu na ushindi dhidi ya utumwa wetu mateso yetu na ukondoo wetu na giza letu bara letu kwa Mwonekano Wetu.

Itakeni Amani ikakae juu Yenu.Amani Iwe juu Yenu ni Amani ya wote, Salamu(Amani) Ya wote Duniani,Tuweni watoma wa Amani na Imani ili tukamlete Kwenu mtoto atakayefufuka/ Kuzaliwa upya mpaka ujana wake si uzee Wala, tutapokea Mizani Bora kabisa kwa km2025 akiwa amesimama juu ya Farasi mweusi(Musa wa leo).

Je nimesoma Kurani 100,na hat Kurani 90 nilizoambiwa na Mimi Ni Nani,kwa macho Kama ya Kurani 66 hapo ndipo ipo 2wakorinto 12,Yaani kiapo kiliwekwa katikati,Na kikomo Cha mashindano Ni kiapo na kwa kuyathibitisha imeandika waebrania?

Kula uonacho,mateso yangu,Hofu yangu,ugonjwa wangu na Udhaifu wangu,nikala gombo lililokuwa mbele yangu,Nami Nikasikia uchungu tumboni kila Mda ule,Na mdomoni kikawa kitamu Kama asali nikutanapo na kikao kisicho rasmi( Ezekiel 2,3).

Lia kwa Uchungu wako,maneno Yao mipango ya Mungu,Nililia Sana, Na hapo niliweza kukiishi kiapo vema Cha Mimi Ni Nani Hata mbele ya Wake Zake,Yote ili Watu wajitome si kwa kusikia tu ila Kuona Ndo naimanisha hiyo Kazi ya Amani.

Dunia Ni Tambala bovu,Mimi Ni Nani Kuna majira Nilionekana Bahi,Manyoni, Morogoro,Pwani,Iringa,Njombe, na South Afrika Anaimba Roma,Mimi Ni Nani mpaka tarehe 16 mwezi June 2023 nisiikubali Ngoma/muwa wa Ibrahimu,Ulipo Mzoga ndipo watakapokusanyika Tai,Mimi Ni Nani mpaka iwepo miaka 50 katika utimilifu wa siku 3335,nisijue Hakuna Yesu Pasipo Maudhi.

Kumbe ulinikwepa Koko bichi Basi nitakupata kibiti,2wathesalonike2 Mimi Ni Nani kwenu 2timotheo3 hamkujua inanipasa kuwa nanyi ili nipate kuandika vema Habari za Musa na hema zake Katika Nchi ya mlima wa uzuri na bahari leo,Sikia Tanzania, Tanzania (ujengwaye upya na Wote katika kujiorganize chini ya CCM Leo ndivyo itakavyokuwa chini ya wana People hapo badae tukayaone Yale yaliyotabiliwa manabii na manabii mababu na mababu),Hakika Nakupenda Tanzania Nilalapo Nakuota wewe.Kweli Nakuota!!!!

Habari za haki,Muulize mzee JKT,Kidomeo,Ligombora, na Hawa Bibi na mabwana,Tom na Jerry(jasy) na Tai waruke tu Tena Huko ikomeapo safari ya Farasi Huyu.

Bukuku-Nani aitikise dunia,Rose-mteule uwe macho, Rolinga-Dealth of President,Kawe Mbunge-New world older na Marley wa Time will tell,Blond wa Coco the Rasta,Bory Samory na pale ufaransa Wapo Hakuna Music Group.

Ni wewe tu Mimi Ni Nani, eti sura hata Mbuzi anayo kikubwa woe,woe,woe hapa tulipo Basi kwa sura hiyohiyo na Ushahidi wa Isaya 53 huu Ni ole wa pili na bado mmoja.

Basi Mi Ni Nani Kama Gogu na magogu Ni Vita Kaskazini Mwa Israel,Mimi Ni Nani na ninyi Ni Nani Katika Isaya53?Makole,Chadulu,Rufiji kidakioni na pa Maji ya kila Namna mji wa Amani.Na Fundi mchundo hakuwa Kisima tu Kama Huko Nazareth?Ni Kweli sumu ilikuwepo na Kiba na Mario,Sasa Mimi Ni Nani.

Jibu Basi, unamsikiliza Mungu vema Hapana Shaka.Ndo utajua hujui msemo usemao,kwa kiebrania7 Mwalimu Ni master wa Isaya52;7 Kwenye Isaya 52.

Uraia Upo hapa black Uhuru na Dreams of brighter days-busy signal na busy signal kaandika muda Free up, je huyu si mwamba wa Jamaica kwa Afrika.

Na Nigeria ,Ferra Anikulapo kuti hakusema 2000 blacks going to be Free. Je si wakati huo tukaitafte Nyakati mbili na nusu(10+10+5),Na akika Sukamahela Manyoni Ni Katikati ya Dunia katika Imani.

Mnaopenda kusema hatutaki Katiba hii,Mnaelewa maana yake,Mmeiona mamlaka ya Raisi? Vipi tumupnguzie? Hahah hah Sisi Ni wapatanishi, suluhisho la Migogoro kwa Wenzetu na haitakaa katu Siasa Yetu na desturi yetu tuipuuze,huko Ni kumpuuza Mungu Wetu aliyetaka na katuchagua sisi tuwe Chemchem ya Amani Duniani (Isaya18),na Daniel 11 Wakina Jakaya,Magu na Mama Kama Wote pale wanachekaa.

Kama Mimi Muongo Basi hiyo barua ya Katoliki ya kutoka kwa Papa vaticani 1984 iliyosainiwa 2016 na kukubaliwa kuwa kanisa Katoliki Ni mlezi wa Amani kupitia kwa bikra Maria asiyemdhambi(ukiisoma Utanielewa zaidi),Je hakuwepo mbishi wa wabishi,Nanyinyi mnasema mnataka Amani,Tudai Haki zetu Watanzania,Na Watanzania wanataka Amani,Basi Chadema,Chadema(Kwa Alkael katualika kwenye operation+255 kwako kutakuwepo na Nguvu ya umma kuiendea Kweli iliyokuwa bado kudhihirisha na tukamulete Mungu Kati Yetu na Mwisho Chadema Ni Imani arukaye kupeleka Taarifa kwa Wana wa Mungu kasema mambo makuu manne ukitaka uje Chadema.

HAKI,UHURU WA WATU,MAENDELEO NA IMANI,Na hii ndo Chadema tuingojeayo, iliyojaa neeema na Kweli kwa mstakabali wa watu wote Duniani.

Roy Ayers- Africa is the centre of the World.

Time will tell Nasema Kama Inesta Marley,time alone Mimi ni Nani.

The pastor of this church, si Mimi Ni Nani ? Many are called but few are chosen.

Sauti hii itasikika mpaka Odonyo Lengai,
nikifa naomba nizikwe tanga na mje kwa Shambalai.
You can kill me but not what I'm saying for.

siutamani uridhi wa baba hata zikishuka Cd4.

Eti tuzo sikustahili hahah Hii Ni hatari,
Tuzo Ina chapa ya Nani,Kama yapo ya kaisari hata leo Mpeni kaisari.

Niko na Byser mbabiloni nawapa habari,Habari yenyewe ni ya hii Ni
Hatari.

Na hatuna kitu tunaudai.Na wenye power tunaomba msitusagie kunguni tunachotaka Ni kwamba Mganga auone dawa,mpishi auone kuni,mjenzi auone mbao na ndege auone makazi,katika habari ya Kuishi Hii ndo Amani Tuitakayo.

Nyahanga.Nyashimo,bariadi,maswa na Sadney Australia nawasalimia Kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...........Kazi iendelee.


Luck dube-Freedom fighter ipo Kirimanjaro pa juu(vihunzi, Vihunzi),Meru(vihunzi) na Zion/sayuni mpya express Ni ya Kamanga Mwanza Hadi Sogesca,Kisaki,Msata,Bomani kote,tandahimba, Nyatwali,Karume na Shule ya Uhuru Ni Shule ya familia ya Yesu.

Je Mimi Ni Nani Kama Yesu Ni Yule yule ila Familia Yake hutoka Kizazi kwenda Kizazi katika eneo na wakati.
Huu Ni upambanuzi au Elimu au ukumbusho?

Basi Mimi Ni Nani Kama Mnajua Mathematics Ndo ilipata tuzo Bora 2012 basi RPC usitume kikosi Uishushe Chadema,

Na 2035 August Ya juu ni 3.5Km testimony.

Jibu Ni Yupo,Yupo na mwanzo wake Wamemthibitisha Wakiwa mwalimu mkuu na Waraka wake Wa Amani?

Mimi Ni Nani Kama mlitaka kunizuia nisiposti Kama nilivyosema kwenu Chini ya Masudi Nasoro as long as bado baba Paroko in 2012 ndani ya mboga Saba watu wa Heavy weight na ugali kitenesi.

Mzee mpili na kushinda times 28 na Yanga Yake Anauliza unanijua Mimi Nani?

Hapa dsm mpaka Rufiji Ikwiriri na wanyumbani Kwake Mpoto Ni peku peku Kumuenzi wa Kazi Shakespeare wa Afrika na waipendao Amani ya Dunia.Je Mimi Ni Nani.

Luck DUBE-FREEDOM FIGHTER alisoma Isaya 52;7?

Utajua hujui Mda ukifika T34,kumpiga Vita Mtu aliyebalikiwa na Mungu Ni Kutangaza Vita dhidi ya Mungu,Atashinda.

Nauliza Mimi Ni Nani,Basi Amani tuitakayo.

Nikk2 anasema ubaya hulipwa na wema ili dunia iwe salama na Upendo.Wote tunamtumikia Mungu.


Dunia Ni duara panapoonekana mwisho Ndo huenda ukawa Mwanzo,Kipofu alimlika au alishika tochi Usiku akiwa na wenzake ili awamulikiye, wakiwa Makini watakuwa waliona vizuri.Niliona vizuri Sasa Mimi Ni Nani,Think about the CHILDREN-LUCK DUBE,Sisi tuko siriazi na Nyakati nyinyi tunaowaandikia mmalize kwanza utoto na hammalizi Basi Ndo mnatwalibia.

Mnayajua mambo ya wakubwa,hayo ndo Tanzania, Tanzania Nakupenda.


Leo 2035 waimbe Majira yetu haya yangekuwaje hapo kwenye Tazama Ramani, Utai Katika Kuufata Mzoga Ulipo mumewaona?. maana Hayo Ni Mapenzi kwenu Katika Kristo Yesu,Wapi 2wakorinto12.

Yote Ni Mapenzi Katika Kristo Yesu,Nayo ilikuwa 5 ya nguvu Katika Saba za nguvu,Binti wa mfalme wa Kusini(Gibr) itakuwaje 2025 atakuwa Binti wa Mbarawa Kuilinda heshima ya Cheo Kivitabu,Labda Mambo yabadilike Sana hivi Sasa na hapo Badae.

Sina Mipaka Ndo maana nataka nikaimalize Dunia,eti corona come on,Make hapo nicheke.

Hapo Katika Nchi ya kusadikika ya Shabani Robert ndani ya fanani Karama Katika uwepo wa Majirani 6 Katika Serikali ya Nchi ya Saba na upana wake, Directions zote + juu na Chini iwepo Saba ya nguvu ya Surat sabaa Basi lipo La kuzingatia Katika Kuran 43;57-61.

Na hiyo ndo Twendeni tukatumie Namba moja ya mtanzania,Mwaliko mkuu kwa Nani Jibril au ? Kazi iendelee ndo hiyo kufumba na kufumbua mambo yawe hivo.

Yote Hayo Mungu Ndo anajua maana Vitabu huja Matoleo na Matoleo ya kizazi baada kizazi,Kikubwa Dua Au Surat Hijr 15;44-46.

Yawepo Mazingatio tu Katika Kuufikia Umimi Ni Nani,Basi Goli la mkono halina shida ili tuujibu Wakati,Wachache huona na huongoza Wengi.

Mimi Siyo shetani wa Kunisemea pepo toka kisa Ni mbaya wa wabaya.Nitake radhi bwana,Sikia ipo Kurani 2,Isaya53 ebu Wewe unaonaje Kama na Mimi Ni mfano wa pili?Wewe vipi Bwana?,Bwana la mabwana Ni bwana la danga la madanga.

Nikasikia Sauti ya Kwenye madanguro(wenzangu) Msiniumizie Bwana angu.Pia nikasoma Isaya8,Ufunuo2;18-19 na Ufunuo17 hapo Sasa nikasema kumbe wakolosai2:7-9 nalo kuu kuliko sadaka,Ni Amani tuitakayo Leo na Kesho na neno la Milele yote.

Nasemaje,Well come 2035 ,Yanga Day 2023 DjAlbi makombora Kama yote.

Dudunyikanza,Kipo Morogoro na Ikwiriri Ni Kama tu Mtu akikuvuka Upande wa pili Katika hii Ole ya pili na bado moja Mbonde Na Simba Yake Semaji na Mda wa kibegi .Tarehe 08/01/2023 ilikuwa kilio kwa Mtoto, Maombolezo na ole wa pili kwa Mama, bondeni,milimani Kama Sayaka,Mwamagulu, Nyamakolokolo na Vaticani city ama Songea kwa Mlewa na Marium wake.

Gorani kwa Mama Rozi Sauti ikasema utakapotumikia kiti Mambo yote hayatakupa shida.

Hii hofu Ni sababu kiti bado na Ndo njia za kiti,Gongo yangu,yako na yao ikanikumbusha kindi na Matapitapi Kanda za Rock Rock rock the Rasta Rock City ya Bismark.

Huko kidintwi alikolala na Uskauti wote alioumaliza kutaka kurushwa ndani ya Samaki ama mamba kukiishi kile kisemacho Kilicho hai hutokana na kilichokufa,Kufa 2024 Kuzaliwa 2025 Katika Mwili wa mateso yaleyale ya Kuchukuliwa na kutemewa mate Kama mbwa wa Sokoni Huyo aliaye aba aba yaani kuchi kuchi toka Afrika mpaka nje ya Watu laki 8.

Hao Wasomi wa dunia na nguvu Ni ujasusi wa uchumi na kidola yakaonekana hayo na Barua ya 1984 iliyojibiwa 2016 kwa kuiheshimisha maisha ya Maria immakulata.

Mungu Fundi,Bwana hutwaa na Bwana hutoa.Jina lake lihimidiwe.Na Huyu Ndo Mungu atakiwaye aogopwe maana yeye anauwezo wa kuua mwili na Roho.Na hayupo wa Kufanana naye,So mwingine Huyo ajuaye kufafanua na kufumba,Namna yenu Kujitoa kwake,Ndo Huyu Kama Hapana mwingine Chama kimoja falsafa na leo theology Liberation Ni ukombozi wa Kudumu juu ya Amani Tuitakayo.

Nipo na Chamagati,Mwaloni Kirumba,Buzirasoga na Singida Yote, Chumve,mkula kwa Mda Niliona Bora Mshambawima Zanzibari kutoka Mangapwani nzwanzwa alitwishwa na alijitwisha vizuri, furaha ya Makazi Ni Pesa, ndesa kafa na Mapesa, na Momose cheyo hakutujaza Mapesa alipoutaka urais ila Mda wa maisha Bora ulikuwa bado haujafika kuwa Ridhiki Mafungu Saba lake la nne mkwere wa Wakwere Katika hayo yatadumishwa Hata milele zingine.

Eti Wimbo wa Mimi Ni Nani Hautuuelewi kabisa,Hamjui Kokolo Liitwalo Kumbakumba Linapotupwa huanza na Samaki Mmoja wachache na Badae Wengi,Pombe na kumtia wazimu Mtu je?,huanza kidogo Badae full mpaka anataka Kunya(msilewe sana mna Siri za watu).

Hata uzao Kama Familia Yenu ilivoanza,Wapo waliozaa kiheshima(Watoto wa kufikia),na walioanza na zero Ila zote ziwe kudra na leo Wamewajua wanao wanaojitolea kuwasaidia Wenzio na Majukumu, Da vinci mjamvi Wa wajamvi anasema Humfanya mtoto wa Kwanza leo (1timoth1:12-19) aonekane Kama Kichaa.

Na awe na gadhabu juu ya wazushi Ambao hawakuaga nyumbani Kuja town kuwatetea Wanyonge na wanajifanya Wanapenda Wanyonge na Katika hilo(Kapigiwa mfano) Watu wanaupiga ukelele kwa Masikio ya udadisi na kujifanyia walimu makundi Makundi Ni ingali wasijue ipo elimu ya awali na Elimu ya Mwishoni( Kutimia kwa Kristo Katika Mwili).

Masanzakona mpoooo Kama unaenda Bunda Mpoooo,Ramadhani mpooo Kama unaenda waging'ombe mpooo,Kizota kuitafta Iringa mpooo,Trm kuitafta Dodoma mpooo and Afrika Ni kitovu Cha Dunia yote mpo.

Cheusi Mangala Ndo Cheusi ya weusi,Na mweupe Hana doa kumbe mnazareth kawashindia Kwanza,na ushindi wa yeye kwake Ni wetu. Nobaya.Mapepo,magonjwa,mikosi,Umasikini, tunakemea pepo, tokaaaaaa kwa Zamu Zamu Sasa mkandamizaji.

Ole,Ole kwa Yesu,Yesu kwa Dunia,Dunia yaani Ni Ole wa pili.Mimi Ni Nani au kitundule wa vitundule?No labda Hondo Hondo la mahondohondo au tipitipi la matipitipi au jongoo la majongoo?mtakuja ona!Na kwa Ubishi wa Elimu isiyoanza na Mungu mtajikuta hamkai Kusahau.Yaani hamtakaa msahau.

Inshu ya mzee Sheshe,Majengo Sokoni au Area C.

Sasa Mwacheni Roma Afagilie Bongo,Arusha,Mwanza,Kenya,Uganda na Zanzibar ili Kiama(mwisho wa siku) tutajua Yule Ni Roho,Mtume,Yesu au Mungu.

Rastafarian Ndo ukristo ujao kwa nguvu baada ya kisimamo?,Musa na Wayahudi utumwani,1930 Marcus Garvey with Selassie Rastafarian,Ras tafari makoneni Chini ya dini moja,Mbingu moja,Mungu Mmoja na Dunia moja.

we go to serve as servants of Lord.

Mnataka Mtanga wa Watanga atoe Majibu( Nchi Hi Ni Tamu sana) Sana Ila bado hatujaifanya mti ule wa Uzima yaani Mganga apate dawa,Ndege Makazi, na Muda ukifika tutaelewa kumbe Black Uhuru Ni group la reggae tangu 1978 Hadi leo na Busy Signal kaandika Mda lakini bado time 2 ya Time will tell ya Bob Marley.

Ni Mteule wa Hip hop atambe na Bongo(kirimanjaro-wingi Wa mateso ingojewayo na Luck dube- freedom fighter) kwa mstakabali wa maisha ya wote waafrika na waipendao Afrika.

Kwa Rositokinte na Nembo yetu,Humo tutarejea na kwa Mahershalal12.

Who can Stop Reggae today?

kwa Uzushi wao kiba akaja na Sumu South Sudani/kushi akawika.

Kongo Wajipime walivyokuwa dhahiri si kwangu tu Hata na kwa Wengine wale waliokuwa na Umarioo(kila siku macho Juu kulilia penzi),Nilikuwa Kama kinda lililokosa mama.Safari na mziki,Mungu na Upendo.

Tumo ndani ya Milima ya Michirizi mieusi, Miekundu na mieupe ambamo ndani yake Kuna maji,Sisi si visima, Tutasomana(Ni Wimbo).

Humo tutakula,Tunda zake,Thom Zake,Kalo Zake,Ngulirose Zake,Kili Zake,Feri zake,Nasa zake na pacha yake.Kefa mdudu yake kama siyo mbuyu twitwe yake na Umansiro wake huyo mbiyu wake,Na yumo OP wao.

Basi ipo faraja kuu yaja Nyamikoma,Ramadi,Busega,Bunda,Majita,Ilemela,Nyashana,Geita NASA Jineli,Misungwi,Kwimba na Area C dodoma , Afrika,Asia,Ulaya na Kote.

Imeshuka ndani ya mlima Mkuu(vikwazo vikuu) wa Imani ya Jana leo na Hata milele,humo Njooni pamoja kwa shangwe na furaha na kumtolea Bwana sadaka iliyo ya pekee.

Ngoma iwe Yenu tu wa leo?Ninyi si mbadala wa wajukuu wenu, kumbe Hata ya Kesho( muwa) ipo na Mda ukifika mtakubali kiaina Kama Chid benzi wa Dar stand up Kama siyo Rose mtoto miaka Tisa,ee Mhando-Mwimbieni Bwana Wimbo Mpya ole huu wa pili Katika sita ya pili(Ya Mzalendo Sir Nature wa Hakuna kulala) ila zipo tatu,na leo imefika 6,6 Hakuna atakaye tuzidi na baada ya siku tatu unusu Basi Mkatoliki Huyu aitwe atakavyo kwa wenye Mazingatio 6 Ni Namba iliyojijenga (automatic) kuwa Mungu Kaipa Bahati kuu mwanzo wake hata Mwisho wake utaona fadhila kutoka kwa Allah.

Ikulu Ina Milango nane Hapo Chini na Saba za nguvu zinawakilishwa na Mtu wa Saba wa nguvu mwenye kitasa Cha Saba afu wa nane Ni wa kusawazisha tu ili kukienzi kiti.

Urefu wa warefu Ni mti wa mkuyu ulioanza Kama mchicha,na kila Mchawi na mbuyu wake,mchicha huu muukanyagao leo mtakuja Ona,Imara milele kwa kutikisika(Kurock rock kwa Rasta huyu) kwa Kanisa kuu kwa Mda.Bariadi,Meatu,Kibiti,Mohoro,Migoli,na Mashariki ya wote Ni Simiyu ya Afrika Mashariki.

Mapenzi ya Baba yake Kwanza.Kikubwa Imani,Tusichoke Kuomba Mungu Mimi na Wewe,Tukeshe Basi pasipo kukoma.
Baada ya Siku tatu unusu,Muulizane yaliyosemwa Yalitokea au hayakutokea? Wale wabishi mpooo,au mmesahau,Rejeeni Kwa Mungu Wenu hasa hasa asiyeweza kuwabagua kwa Sura mfano wake wala Tabia zenu,na kila Kitu chenu.

Huyu mnamjua Shabani Robert, nyinyi wakusadikika na kina Adili na Nduguze,kikubwa dua,Umeona, Mapenzi ya Mungu yaje Kama duniani na mbinguni .Kabita,Nyamatembe,MwabasabiBadugu,Kisolya na Madaba Ni Kuiona Tanzania Ni moja Ya Nchi muhimu ya Marejeo ya wote wa duniani kizazi na kizazi Cha umilele.

Kuna Mungu Pamoja nasi.

Msihukumu,Msije mkahukumiwa,maana Akili Ni kipawa Cha Mungu,Kwa hiyo Mambo Mengi yamefungwa kimbayuwayu ili kila Mtu apate chake,Shilingi yaua Pesa Maua,Iweni Kama Kasuku Mwana anachopata kinamtosha.

Akili za kimbayuwayu narudia,Duniani upo Uongo na ukweli, hudumu hivo na mwisho Uongo hujitenga,vitu havitengamani linapokuja suala la maisha ya Watu.Yaliyopità si ndwele tugange yajayo,Wahenga waliona mpaka mwisho kuitafta kesho tena.

Basi Akili za mbayuwayu ndizo zilizotumiwa kuyafanya maisha yaende,Kazi iendelee,Basi usiishie hizo tu Changanya na zako.

Kona,Selya,Isadukilo,Mwabasabi,Bukunu Ndo hiyo namba 7 ya magharibi ya Dunia na Simbuko Yao.Huko Filimbi itapulizwa kuzigojea siku Tatu unusu/ majeneza matatu,na la nne lake ndani ya Nyumba yake Uzima wa mtoto Mchanga(Wa mizani Tena) tena ni baada ya bluu kwa juu kwa mwendo wa kijeshi Kiama ya mmoja Kiama ya wote.

Hautakuja Usahau nakwambia!!.

Hakuna Asiyekosea ila Mwenyezi Mungu tu,Hakuna aliyejuu zaidi ya wote Ila Mungu tu,Na Mungu hajawahi Kuonekana na Yeyote yule ila Mwana pekee Ambaye Alimfunua na kumweka Kifuani kwa rehema na neema zake. Kuumeni akakaa na Siri yake,Mtumishi wake na Majira yake,Wala Hana mtoto? ila mtumwa aliyesawa na Bwana wake akijitahidi kumtii kwa kila aagizavyo kuufikia wakati.


Na Mimi Ni Nani?,ni Siri ya 2085.Basi mkumbuke miji yote ambamo mliona, Bubinza,Mwabuduli,Ichila,Sayaka,mirambi na utete watafanya miguu Yao Marejeo midomoni mwao kwa Zanzibar unguja na Pemba Zitakuwepo Milele,

Angalizo Kambarage Wa Butyama na Kenedy Kaunda Kama Mshauri aliseti majira yote ya Miaka 10 kumi,Na majira Ni Haya( Usitangulize ubaya usomapo) Daniel7;25.Bukoba,Arusha,Shinyanga,Magu,Mgumu na Ukerewe Ni Tanzania itarajiwayo kwa Marejeo ya Amani kwa Watu Wote.1985 na 2035 kuuenzi (umusa) Utangulizi wa Mjukuu wake Thomas mtoto wa Mwanae wa kike aliyeibeba ile fimbo na leo yupo Uingeleza

Tazama Ramani Utaona Nchi Nzuri.

Siasa yako na Desturi imetuletea Uhuru, Tanzania,Tanzania(utakiwae ujengwe upya Kama aalikavyo mkuu wa Wote wenye 6 likawe Taifa la watz),Dah Nilalapo Nakuota wewe niamkapo naiona Heri e mama weee(we mama!).

Na hakika Kambarage Ndo Wetu mhifadhi,naye ndiye aliyeleta Uhuru, Tanzania Yetu ndo nchi ya kusifiwa.

Tena kwa habari ya Palestine na Israel mnamo Oktoba 7/2023,Hakika Hii Ni Chemchem ya Amani,Naapa kukulinda TANZANIA.

Haijalishi ila Mkufu(Bibi na Bwana+milima ya Michirizi) ulikuwepo shingoni mwa mkuu wanao leo,wamepewa watoa Taarifa,Je Daniel ilikuwaje huko Wilaya ya babeli baada ya hayo?Basi ipo kufumba na kufumbua katika unyakuo hapo ikawekwa mkazo Kuwa Kazi iendelee, Butyama mwakumbuka kule binti wa mlimani (leo vihunzi) waliozomea Wote waligeuka mawe katika hesabu ya miaka 601 ya Kuishi kwangu? Ona wanalia Wao ndo wamesababisha!no no! hawakumbuki Korani ya Mohammed, Hawakumbuki Injili ya Yesu,Agano la kale!!na Joshua Ni shahidi juu ya Yerriko ya Mji wa Yule kahaba,Hamkumjua (Isaya8,Ufunuo 2, Ufunuo17,Korani20,Korani23).

Na hakika Watalia kwa kusema Hatukumjua Nuhu katika991ya milenia ya pili,Isah(Yesu) na Mohammed hakusema katika korani 2;57-61 habari za mifano,Basi umri wao wa umma wao Ni miaka 950 na katika hiyo 50 Ni ya kulingania na wakaitafute b hiyo baada ya ukamilifu wa wakati Kama wasipotubu Hakuna kiumbe kitasalia Asema bwana.


Basi pendo la Mungu watu wasaidiwe Kama Mimi nilivyosaidiwa kuponywa na Jibril(viumbe vinyofu vya mioyo) hiyo Tarehe 31-12 kuendea majuma 62 baada ya kuwepo kwenye Maji Mengi ya huyo msekondo ambapo Tamisemi wataniibua kutoka kwenye Maji Mengi nami nitakuwa na kofia Yangu sehemu za watu hamkuniona na fimbo,kiti Cha mbele ishara ya kumtumikia huyo 6 Nzuri wa leo mitaani na Mkono ama 5G ya Skudu Makudubela awamu ya Mama iliyofuatwa na Juma moja la mkuu wa wakuu kuwepo SSuda na DRC ili utimilifu wa Daniel Kama ilivyokuwa kwa waingeleza na wajerumani hapa Tanzania,Na hakika mtu kajaliwa ubishi si usikivu Kama Nuhu Kwa Mungu wake, baaada ya kutofasri Bibi na Bwana na hiyo milima na Michirizi Yake Wilaya zitakuwa pamoja na Moja tuiendeayo Kama tulivyoalikwa tukaitumie.Je Mwenge usianze mwakani Kila Wilaya na hakika Ni mmoja katika Wilaya Hapana mwingine.

Msisahau hata Gabriel Ni Malaika mtoa Taarifa apaaye kila anga(Mkuu wa anga) ili kuwapa habari watu wengi juu ya ujio wa Mungu atakaye shuka Milimani mlimo na bendera Yetu,Uzalendo Wetu katika Ole,Ole wa Tanzania, Tanzania italajiwayo katika majira ya Haya.

Nanyi mnao wabadilishao gia angani,Je isiwe mifano halisi na hakika Yusuph alikuwa mtumishi kwa Farao na Daniel kwa Nebkadneza,Basi alitumikia Nini ? Au alimtumikia Kambarage kuwa Mpinzani wa Kweli wapi atakako ? Na hakika tuvumilianeni Kama isemavyo korani sisi Ni viti vinavyoelekeana Basi tuondoeni chuki vifuani ili tuwe mashahidi wa wenzetu kwa utimilifu Wote wa dahari.

Mimi Ni Nani au Luck dube- Freedom fighter Kwa idhini ya Michael 3.5Km Pope people of Africa,ili iwepo calm na peace na Baba God P squre my confidence.

Na salamu kuu ya kuzaliwa mtume Mohammed kwa Dawa Yetu, Umoja Wetu, upatanisho Wetu, Suluhu wa Wote na hakika miaka ya 14 ya milele yote,je hamukuniona siku hiyo,Siku kuu hiyo, ya mwaka wa Tembo(571) alivyonifanye nijitume?

Nikaikubali Isaya 52 baada ya kupotea kwa Habari Zangu ndani ya Miaka Miwili, nije baada ya Majuma 70 na kwa uhakika nikapokea Isaya52;7 kutoka kwa Mkuu wa viongozi wote(chifu) Huyo Huyo Kama Bangala Kule Kongo,Wote wapatanishwe Katika kristo Yesu, dhidi ya Wote wawe na Umoja, Yohana17;21 Huko Sudani kusini kuzitafta kombe la pili la dunia Kama Siyo ole, Maombolezo na kilio Kwenye kiti Cha Mimi Ni Nani, buibui si ukomo wa Enzi ya kiti hicho au Uongo? Radi hiyo je? Hata picha hamuoni,Hamtakaa msahau, Cha Mtu Sumu,Japo la Mtu Sumu.
Nileteeni Watu Wasioweza kujua Reggae Kama Siyo Strong.

Za mbayuwayu Ni za kuambiwa Basi wewe tumia na zako ndugu,Na Hapa leo Ndo Ari mpya,Nguvu mpya na Kasi mpya ili tukayapate Maendeleo ya Kweli.Hamtakaa msahau Nawaambia,Mimi Ni Nani Siri ya 2085km,Na hizo km si Lolote wenye maana Ni Muda tu ulio Chini ya usimamizi wa Mwenyezi Mungu.

Chini ya Sep2023. Na Oct 1 23 Ni omnipresent na ndo haya.

Haijawahi hiyo Siri na dalili Kama Jua na Mwezi havijasimama ndani ya masaa12 kila kimoja kwa majira Yake iwepo siku moja nzito na ya maajabu,

***Jua nalo literemke mama,Mwezi nao uteremke mama,

aiya iya iya iya mama(muda ukifika jambo hutatangazwa)-Wapi shule ya Msingi na mchakamchaka!!

***Masada-Alpha Blond,Birds singing, I'm gonna sleep with dead sea,I'm gonna witness the rising Sun from Masada.

Sio Siri Kama mto Yordani haujakaushwa kidaraja na uwepo njia ya kuwa pamoja na wenzetu wa huko,Hiyo before 2085,2Wakorinto12, Daniel12 na miiba mingine ya Desturi zetu.

***Bussy signal-free up.

Wanataka Ushahidi,Hakuna mwingine wa Mimi Ni Nani ila ule wa NATURAL MYSTIC-Bob Marley na ndiyo Hiyo Time will tell.

Ipo Tip top(Kaskazini) na ipo T.M.K(Kusini) hapo Temeke Kama Utakuwa na Kambarage utajua dhana dhana ya upinzani(Chama Cha Makubwa-Tip Top Ft T.M.K,Daniel2) hiyo 2024 Kabla ya 2025 August ya juu ikitoka huko No Woman No cry-Bob(2018-2023). marley(2Timotheo3).
Natural mystic-,Bob Marley.
 
Codes za kigiriki.. Anyway Tambua kua ndugu zako wako katika Kiza na Kiza kinene hunena kwa sauti za Mawimbi yenye Ngurumo zisizo na Mtindo ama kwa hakika hili ni Fumbo na mwelevu atalifumbua 2025 na kujua mimi ni nani?!...
 
Back
Top Bottom