Mimi ni Nani?

Mimi ni Nani?

Kumbe kazi yako ni kufuatilia nyendo zangu humu?
Mimwenyeji mkuu....
Humu nawajua wote tunao pishana kila siku aiseeee.....
Isipokua kuna jukwaa la wanao jiita makapuku nini nini sijui....huko siendagi
 
Mimwenyeji mkuu....
Humu nawajua wote tunao pishana kila siku aiseeee.....
Isipokua kuna jukwaa la wanao jiita makapuku nini nini sijui....huko siendagi
Kumbe? Hongera kiranja wa JF.
Mie nipo mkuu.
 
Huwa najiuliza hili swali mara nyingi, mimi ni nini? Maana najikagu naona mguu wangu, naona mkono wangu, naona kichwa changu, naona kiwiliwili changu, hapo vyote naona ni vyangu, sasa mimi ni kipi?

Wanasayansi wanataka kuweka kichwa cha binadamu mwingine kwenye mwili mwingine, najiuliza nikitolewa kichwa kikawekwa kingine bado nitakuwa mimi?

Mshana Jr. Mzizi mkavu na wengine mniambie.
Wewe ni muunganiko wa
1.mwili
2.roho
3.nafsi
Ambapo mwili + roho = nafsi(wewe)
Ambapo huyo 'wewe' unakuwa kitu cha 4 kinachokamilisha wewe...kwakuwa nje ya hapo hakuna wewe mwingine bali kuna
Mwili wako
Roho yako
Nafsi yako
 
Wewe ni kilaza.

By JPM
[emoji28] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji28] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji28] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji28] [emoji28]
 
proofs ziko wapi mkuu?

Ngoja nikazitafute
Kumbuka si kwa maana ya kukata kichwa chote
75dbdf24b8dacd77b917385dcba6091b.jpg
 
wewe ni mimi,mimi ni wewe,sisi ni mungu.
Huwa najiuliza hili swali mara nyingi, mimi ni nini? Maana najikagu naona mguu wangu, naona mkono wangu, naona kichwa changu, naona kiwilwili changu, hapo vyote naona ni vyangu, sasa mimi ni kipi?

Wanasayansi wanataka kuweka kichwa cha binadamu mwingine kwenye mwili mwingine, najiuliza nikitolewa kichwa kikawekwa kingine bado nitakuwa mimi?

Mshana Jr. Mzizi mkavu na wengine mniambie.
 
Back
Top Bottom