Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,517
- 5,533
ccm wakiwa na jambo lao kwenye taifa limeenda hovyo lazima ilazimishwe daby watuachie mpira wetu kwanza waachie hizo team zilwe na viwanja vyao ziingize mapato yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaah mkuu ni kweli kabisaHii sare ni faida kwa Yanga. Maana timu zote mbili zimedondosha alama mbili muhimu. Na ukijumlisha na ile sare ya Yanga dhidi ya Kagera Sugar; utaona mzani sasa umekaa sawa.
si kama bongo mzee wangu huku hata sio kwa kukpepesa kaka leo simba n yanga ni wakutokuwa na uwanja? kisa tff itapata wapi mapato ya uwanja wa taifa?Hata ulaya...siasa zipo kwenye soka....siasa kwenye soka ni unkwepable
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwan vip Papaa Omary wa njombe na Fredy Kulwa hawakucheza Leo.Ukiona mtu anapigia hesabu mechi za wenzake, ujue kwake ameshaona dalili si njema huko mbele 😁😁😁
Level ya uchumi pia inachangia mkuu.... kujenga uwanja ni kipengele sanasi kama bongo mzee wangu huku hata sio kwa kukpepesa kaka leo simba n yanga ni wakutokuwa na uwanja? kisa tff itapata wapi mapato ya uwanja wa taifa?
Wameshatikisa nyavu mara moja moja. Tunamsubiri Okra OsimhenKwan vip Papaa Omary wa njombe na Fredy Kulwa hawakucheza Leo.
Daaah enzi hizo nilikuwa jobless mkuu....now Mambo mengiNdugu Mchambuzi kwakweli tunamiss ule uchambuzi wako maridhawa kabisa wa soka letu la Nyumbani [emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
[emoji1][emoji1]Wameshatikisa nyavu mara moja moja. Tunamsubiri Okra Osimhen
Kwahiyo Yanga ya kikongwe gwede ndiyo unaona iko vizuri? Subir muda utaongeaSimba ya kina Babacar, Chama, Ngoma, Mzamiru, sijui Kapombe, Manula na Mangungu haitotokea imfunge Yanga hii ya Diara na kina Max au Aucho... Never
hpana azam aliwezaje we huoi team za ulaya mpaka leo wanapanua uwanza kwani umeambiwa unajenga uwanja wa shabiki elfu 60 unaaanza hata na elf 30 the kama unaona ongezeko la mashabiki hata kenye match ambazo sio za dby unapanua kila mwisho wa msimu kakaLevel ya uchumi pia inachangia mkuu.... kujenga uwanja ni kipengele sana
Pia upigaji ni mwingi sana Kwa timu zetu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
hilo la upigaji nakubaliana nalo afu wanaongelea mambo kiwepesi hebu fikiria uwanja wa kaunda msemaji aliongela juzi kwa level ya yanga pale hata parking ya gari tuu inatosha? wasituchukulie mafala.Level ya uchumi pia inachangia mkuu.... kujenga uwanja ni kipengele sana
Pia upigaji ni mwingi sana Kwa timu zetu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tatizo mchwa wengihpana azam aliwezaje we huoi team za ulaya mpaka leo wanapanua uwanza kwani umeambiwa unajenga uwanja wa shabiki elfu 60 unaaanza hata na elf 30 the kama unaona ongezeko la mashabiki hata kenye match ambazo sio za dby unapanua kila mwisho wa msimu kaka
Azam wamewazidiUzuri zikianza kudondoka point za uwanjani point za malalamiko zinajulikana.
1."TFF wanaibeba simba"
2."Simba ina ratiba nyepesi"
3."Timu ndogo zinalipwa kutukazia"
4."Marefa huwa wanatuonea sana"
5..........
6.........
7.........
8........