Mimi nikifika tuu, dakika 10 nyingi wanaanza



Wacha mazoea na:

1. Wake za watu.
2. Watoto wa watu.

Hautakupunguzia chochote.
 
...nunua sabufa au spika afu tafuta nyimbo zile zenye mikito ya maana Techno au EDM na singeli... Wakianza tu unaweka volume 25 uone kama hawatapunguza...
 
Naskia zanzibar hakuna bar msururu kama huku kwetu hata kwa mangi unapata beer
[emoji23]tatizo wabinafsi sana afu kdogo tu unapigwa jini kambare... Mbaya zaid hakuna offa za bia ndo ujue... Panafaa [emoji23]
 
[emoji23]tatizo wabinafsi sana afu kdogo tu unapigwa jini kambare... Mbaya zaid hakuna offa za bia ndo ujue... Panafaa [emoji23]
NIngekuwa nakaa zenji ningefungua stoo ya kilevi nyumbani kwangu...najaza vinywaji natangaza kwa washkaji wawe wanakuja anytime kununua
 
NIngekuwa nakaa zenji ningefungua stoo ya kilevi nyumbani kwangu...najaza vinywaji natangaza kwa washkaji wawe wanakuja anytime kununua
[emoji23] na sisi wa soda mbna umetuacha mkuu
 
apo sawa... Naskiaga wakifunga ukionekana umebeba kinywaji au chakula chochote ni tatizo
Nitakuwa na stock ya kutosha, zikiisha nitanunua ule muda wamefungulia.
 
...nunua sabufa au spika afu tafuta nyimbo zile zenye mikito ya maana Techno au EDM na singeli... Wakianza tu unaweka volume 25 uone kama hawatapunguza...
🀣
 
Achana nao Mkuu usiruhusu Akili yako kuwasikiliza waache Kama walivyo Muda wa saanane huwa ni Muda mzuri wa kutafuta ushirika na Mungu na sio kuwaza au kufanya ngono .


so stay greatful keep Good first .
 
...jitahidi uwe unarejea mapema nyumban unalala saa4 ili ikifka hyo saa 8 wewe upo usingizini Hausikii chochote... Au hama kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…