Mimi nikijana ambae nimeshindwa kuendelea na chuo, na ninamtaji wa laki tatu nataka kufanya biashara ya viatu vya kike. Naombeni ushauri

Mimi nikijana ambae nimeshindwa kuendelea na chuo, na ninamtaji wa laki tatu nataka kufanya biashara ya viatu vya kike. Naombeni ushauri

Habari waungwana mimi nikijana ambae nimeshindwa kuendelea na chuo, na ninamtaji wa laki tatu na ninaitaji kufnya biashara ya viatu vya kike nifanyaje
Kongole kwako mkuu kwa uthubutu.

wenye ujuzi watakuja kukupa maelezo zaidi
 
Tumia Instagram na Facebook kujitangaza siku hizi wateja wapo mtandaoni. Weka nguvu Facebook
 
Back
Top Bottom