Mimi niliaaply vyuo nikaconfirm IRDP nashangaa sasa nipo chuoni uku IRDP majibu ya mkopo yametoka mkopo umeelekezwa chuo cha CBE

Hamna msomi hapa,huyu ni mwizi tu km wezi wengine.
Bora waendelee kumpiga spana tu mpk akome.
Mtu kaanza kudai boom kabla hata hajaanza kusoma.
Nawaza ada na meals nitapatia wapiii bila uwo mkopo
 
Nawaza ada na meals nitapatia wapiii bila uwo mkopo
We soma tu, piga kitabu. Mambo ya sijui msosi na ada yatakuja mbele ya safari. Au unataka kuoa chuoni?

Hata usipopata wee soma tu hivyo hivyo. Nyerere yuko nawe
 
Wahi CBE ukaendelee na masomo yako.
 
Hii imemkuta ndugu yangu pia na wamemuambia aende chuo alicho pangiwa mkopo
 
Sawa, Asante nitasiburi tu
Dogo Kama wewe nyumbani Kuna chembe chembe ya ukwasi kasome hichi chuo huku ukingoja hela Kama na wwe tupo katika lile fungu la watoto wa wakulima na ndugu yetu mizengo pinda nenda cbe kasome tena hata ukiitwa usigeuke ukishapoke boom lako ndo uanze kusikiluza maoni chunga Sana mdogo wangu ukishatoka kwenye keyboard ndo utajua muda huo hela ya kuprint assignment unampgia simu mzee
 
Pita PM wee mwanafunzi, ama hata PM hupajui 🤣🤣 Kuna maelekezo nimeyaweka hapo
 
Kwisha,
 
Dogo kwa nini usinende kuuliza kwa Dean of Students au mtu anayehusika na mikopo kwenye hicho chuo ulichopo? mpaka ukimbilie huku JF tumejaa wazee, kwanza kwa nini haukusalimia, ohh kumbe ni wa 2000 sawa
 
Hii mpyaa, mtu awe chuo kingine, na mkopo wake uko chuo kingine?

Hakna mawasiliano mazuri baina ya TCU na HELSB?
Poleee kijanaa.
inatokea iko hivi yawezekana huyo mwombaji alichaguliwa pia cbe na irdp huenda na chuo kingine pia kumbuka wengi wanafanyiwa app huko ma-stationary,huenda alicomfirm cbe ya kwanza na kisha akajitoa baadaye akacomfirm irdp wakati huo heslb walishamtambua kama mwanafunzi wa cbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…