babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hamna msomi hapa,huyu ni mwizi tu km wezi wengine.Still anataka na pesa ya serikali akaiangamizie kwenye kubeti na shisha. Mola atusaidie tu kwa kweli
Bora waendelee kumpiga spana tu mpk akome.
Mtu kaanza kudai boom kabla hata hajaanza kusoma.