Mimi nilidhani haka Kautamaduni kabaya kangeishia tu kwa RC Chalamila wa Kagera kumbe kanaendelezwa na kwa Wengine?

Mimi nilidhani haka Kautamaduni kabaya kangeishia tu kwa RC Chalamila wa Kagera kumbe kanaendelezwa na kwa Wengine?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Eric Benedict Hamissi kuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL).

Rais Samia alitengua uteuzi wa Hamissi mapema mwezi Julai mwaka huu na nafasi hiyo kuzibwa na Bw. Plasduce Mkeli Mbossa.

Taarifa: habarileo_tz

Kumbe basi tusilaumu sana na pia tusiwe na Shaka kwani huenda huko mbeleni akina Hapi, Lukuvi, Kabudi na hata Ole Sabaya akishinda Kesi zake wakarejeshwa tena katika Nafasi zao za Uongozi na Utawala kwani katika Watanzania Milioni 50+ wenye Uwezo wa Kufanya Kazi, Kutumbuliwa na Kurejeshwa tena Kazini ni hawa tu pekee na tuliobakia hii Keki ya Tanzania haituhusu ila Tutanyenyekewa hadi Kupigiwa nao Magoti ya Huruma na Machozi ya Mamba ( ya Kinafiki ) hapo Oktoba 2025.

Kazi ipo hakyanani Ewe Mola tusaidie.
 
Naafiki mkuu,hawa ndio waliua NASACO, imefufuliwa kwa gharama kubwa ikiwa ni pamoja na watanzania wengi kupoteza kazi kutoka kwenye makampuni mengine maana president Magufuli hakutaka au alishauriwa vibaya ,alifuta ushindani wowote, time will tell hii kampuni nayo itafilisika soon.
 
Machizi na vilio vya waTanzania walio wengi na ukizingatia huu mfumko wa Petroli wakati nchi zingine tayari mafuta yameshuka. Kuna jambo Liko kati ni Muda wa kipenga kipulizwe mechi ichezwe.!!
 
Serekali ya mam Samia Ni serekali mbovu kuwai kuepo Africa nzima toka afica ipate uhuru Ni serekali ya manyameraa
 
Back
Top Bottom