Breki ya Kenge
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 715
- 1,004
Kwa hiyo sasa hivi polisi wamekuachia kwa dhamana ya mauaji?!!...tuanzie hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana kelele za majeruhi zilianza alipokanyaga kifua, seriously unamkanyaga mtu kifua ili umgeuze shingo? Naimagine nguvu ya mguu na mikono jinsi ilivyomkatisha uhai kabla hata shingo haijageuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Katika hali ya kushangaza na ya kushtua dereva bodaboda aliekuwa kavaa koti kinyume (nyuma mbele) na alikuwa hajavaa helment alianguka.
Wakati anagaragara chini kuhitaji huduma ya kwanza mimi nilienda kumsaidia, sasa kwa kuwa alivaa kinyume yaani badala avae kufunika mgongo yeye alivaa kufunika tumbo na kifua alilalia mgongo.
Mimi nilipofika karibu yake nikaona sura ndio imegeukia mgongoni anahitaji shingo igeuzwe nikakanyaga kifuani (hapa nilidhani ndio nakanyaga mgongo sasa)nikageuza shingo,nikaona anapiga kelele huku anashika mikono yangu niache mi nikaongeza nguvu nikavunja kabisa .
Nilipoona ametulia mi nikamwacha akusanye nguvu nikaondoka zangu. Baadae nakuja kukamatwa na polisi kwa mauaji,je?hapo kwani nilikuwa na kosa gani, ingekuwa wewe ungefanyaje.
Nakutaka lazi mzee mwenzangu...[emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji34][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]ntake lazi weee mzee
Jr[emoji769]
Katika hali ya kushangaza na ya kushtua dereva bodaboda aliekuwa kavaa koti kinyume (nyuma mbele) na alikuwa hajavaa helment alianguka.
Wakati anagaragara chini kuhitaji huduma ya kwanza mimi nilienda kumsaidia, sasa kwa kuwa alivaa kinyume yaani badala avae kufunika mgongo yeye alivaa kufunika tumbo na kifua alilalia mgongo.
Mimi nilipofika karibu yake nikaona sura ndio imegeukia mgongoni anahitaji shingo igeuzwe nikakanyaga kifuani (hapa nilidhani ndio nakanyaga mgongo sasa)nikageuza shingo,nikaona anapiga kelele huku anashika mikono yangu niache mi nikaongeza nguvu nikavunja kabisa .
Nilipoona ametulia mi nikamwacha akusanye nguvu nikaondoka zangu. Baadae nakuja kukamatwa na polisi kwa mauaji,je?hapo kwani nilikuwa na kosa gani, ingekuwa wewe ungefanyaje.
Nakutaka lazi mzee mwenzangu...