Mimi nilidhani natoa huduma ya kwanza kumbe namalizia kuua

Mimi nilidhani natoa huduma ya kwanza kumbe namalizia kuua

Ambatanisha na Picha za tukio ili kuondoa utata
 
Mauaji ya kudhamiria ningekuwa hakimu huyu tayari angekuwa buriani
Inawezekana kelele za majeruhi zilianza alipokanyaga kifua, seriously unamkanyaga mtu kifua ili umgeuze shingo? Naimagine nguvu ya mguu na mikono jinsi ilivyomkatisha uhai kabla hata shingo haijageuka[emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Katika hali ya kushangaza na ya kushtua dereva bodaboda aliekuwa kavaa koti kinyume (nyuma mbele) na alikuwa hajavaa helment alianguka.

Wakati anagaragara chini kuhitaji huduma ya kwanza mimi nilienda kumsaidia, sasa kwa kuwa alivaa kinyume yaani badala avae kufunika mgongo yeye alivaa kufunika tumbo na kifua alilalia mgongo.

Mimi nilipofika karibu yake nikaona sura ndio imegeukia mgongoni anahitaji shingo igeuzwe nikakanyaga kifuani (hapa nilidhani ndio nakanyaga mgongo sasa)nikageuza shingo,nikaona anapiga kelele huku anashika mikono yangu niache mi nikaongeza nguvu nikavunja kabisa .

Nilipoona ametulia mi nikamwacha akusanye nguvu nikaondoka zangu. Baadae nakuja kukamatwa na polisi kwa mauaji,je?hapo kwani nilikuwa na kosa gani, ingekuwa wewe ungefanyaje.


Yaani umekamatwa na kuachiwa mpaka kuja na kuandika haya? Ni polisi gani waliokushika nataka mawasiliano yao sasa hivi, iweje uwe na uhuru kihivi?
 
Katika hali ya kushangaza na ya kushtua dereva bodaboda aliekuwa kavaa koti kinyume (nyuma mbele) na alikuwa hajavaa helment alianguka.

Wakati anagaragara chini kuhitaji huduma ya kwanza mimi nilienda kumsaidia, sasa kwa kuwa alivaa kinyume yaani badala avae kufunika mgongo yeye alivaa kufunika tumbo na kifua alilalia mgongo.

Mimi nilipofika karibu yake nikaona sura ndio imegeukia mgongoni anahitaji shingo igeuzwe nikakanyaga kifuani (hapa nilidhani ndio nakanyaga mgongo sasa)nikageuza shingo,nikaona anapiga kelele huku anashika mikono yangu niache mi nikaongeza nguvu nikavunja kabisa .

Nilipoona ametulia mi nikamwacha akusanye nguvu nikaondoka zangu. Baadae nakuja kukamatwa na polisi kwa mauaji,je?hapo kwani nilikuwa na kosa gani, ingekuwa wewe ungefanyaje.

Kwa hiyo ni kwamba hadi sasa upo polisi na umeandika huu uzi ukiwa huko baada ya maafande kukupa simu au umempa wakili wako nywilia ya jf ukamwambia akuandikie huu uzi...!?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom