Wanawake wa sasa tunajidhalilisha aiseh mhhhWanawake wa siku hizi mtatuua sisi wanaume ambao bado tunahisia za mapenzi.
Kuna sehemu huwa naenda mara moja moja kufanya service. Sasa kutokana na kuwa nikipeleka gari huwa napenda kusubiria hapo hapo kufuatilia utendaji wa fundi. Basi nikajenga mazoea ya kukaa kwenye kiduka flani ambacho pia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akishamwagilia Moyo anaomba upigwe wimbo wa "Furaha kulewa na Marafiki"
Naomba niutumize unabii wako,uyo mdwanz ni mimiKuna mduwanzi mmoja atakuja hapa na comment ya namna hii: "Tafuta hela, acha kulia lia"
-Kaveli-
Wewe Huna tabia hii. Unanifaa sanaWanawake wa sasa tunajidhalilisha aiseh mhhh
Bila kusahau wale wa chaiKuna mduwanzi mmoja atakuja hapa na comment ya namna hii: "Tafuta hela, acha kulia lia"
-Kaveli-
Moja ya komenti bora sana kuwahi kutokea hapa JF.1. Mtaka nyingi nasaba upata mingi misiba. Acha kuanzisha urafiki ovyo ovyo.
2. Heshimu kila shilingi yako. Kama ilivyo ngumu kupatikana na iwe ngumu pia kutoka.
3. Wema ni nusu ya ujinga. Acha kusaidia watu ovyo always remember no good deeds goes unpunished.
4. KAA MBALI NA SINGLE MOTHERS.
5. Dunia haijawahi kuacha kuadhibu watu dhaifu especially wanaume dhaifu. Endelea kuwa dhaifu tutakutumia kama case study na mifano hai kuwahusia watoto na wajukuu wetu.
Sana, hela ya kunywa au kula unasubiria kuhongwa, what a shame.Wanawake wa sasa tunajidhalilisha aiseh mhhh
Ipo wazi.Dear fungua pm nna shida.....
Nipe namba zake PM nikakanye Tukiwa meza moja tukipata kilaji wikiend hii. Haiwezekani akusingizie mwana Jeiefu mwenzetu...
Tulikubaliana hakuna kumuonea mwanamke huruma.
Kwanini umekwenda kinyume na makubaliano ya kikao chetu?