Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Wanawake wa sasa tunajidhalilisha aiseh mhhhWanawake wa siku hizi mtatuua sisi wanaume ambao bado tunahisia za mapenzi.
Kuna sehemu huwa naenda mara moja moja kufanya service. Sasa kutokana na kuwa nikipeleka gari huwa napenda kusubiria hapo hapo kufuatilia utendaji wa fundi. Basi nikajenga mazoea ya kukaa kwenye kiduka flani ambacho pia