Mimi nimemuelewa Masoud Kipanya. Wewe je?

Mama alisema yeye na jiwe walikuwa kitu kimoja.

Akianza kumfukunyua na kumkosoa jiwe ni sawa na kujilipua yeye mwenyewe.

Hao wanaomshauli mazaa wanampoteza ni bora amuache jiwe apumzike yeye apambane kivyake
 
Mtu/binadamu: Ni serikali na nchi ya Tanzania.

Miguu: Ni nguzo aliyoisimamia,ambayo imekosa stara ya viatu ( Ni demokrasia)

Vidole: Ni uongozi wanatakiwa kusimamia/Kubalance hiyo nguzo ya Demokrasia

Kidole kikubwa: Ni kiongozi mkuu mwenye kupambania hiyo nguzo.

Bastola: Ni kinga, matatizo na mazuio ya mambo ya viashiria demokrasia.

Kushushwa kwa Bastola: Ni serikali kutoa vikwazo vya kuimarisha demokrasia bila kusahau kushushwa inaweza kuwa imeelekeza matatizo kwenye vidole hasa kidole kikubwa, ikisubiri kuvuta trigger tuu.
 
 
Umejitahidi kufafanua Vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…