Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naogopa watanichukuliaje?

Habari zenu ndugu zangu,

Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naona aibu kutoka na mazingira niliyopo na namna watu watanichukulia

Naombe ushauri wenu?
Itakuwa ulijiweka kibosi bosi hapo mtaani, ila njaa Haina aibu , ni uchague ufe Njaa kwa aibu au utafute ugali kwa heshima ( kazi ni heshima) Kuna watu hata mtaji wa genge hawana. Pambania fursa hiyo kijana💪. Binadamu wanazaliwa wanasema, hawanaga jema Hawa viumbe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…