Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Nakushauri kuwa usiwachukize,ishi kama watakavyo na si utakavyo.Habari zenu ndugu zangu,
Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naona aibu kutoka na mazingira niliyopo na namna watu watanichukulia
Naombe ushauri wenu?
Itakuwa ulijiweka kibosi bosi hapo mtaani, ila njaa Haina aibu , ni uchague ufe Njaa kwa aibu au utafute ugali kwa heshima ( kazi ni heshima) Kuna watu hata mtaji wa genge hawana. Pambania fursa hiyo kijana💪. Binadamu wanazaliwa wanasema, hawanaga jema Hawa viumbe.Habari zenu ndugu zangu,
Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naona aibu kutoka na mazingira niliyopo na namna watu watanichukulia
Naombe ushauri wenu?