Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Ngoja uje "uchoreke" kwa njaa au kuombaombaHuku michorano mingi
Sasq kama nilipo wanachuki wanawwza kuniachia nikavitumia mwenyeweHao unaowaogopa ni;
Wateja wako
Ni watu kama wewe
Ni masikini wenzako
Hawatakupa ugali
Watakuchapia mke kama huna Hela
Hawakupi ugali
Watakuja kukukopa hizo nyanya
Ukiwaongeza vitunguu watakufungulia njia
Waza magenge wengi wanakula wake za watu na mabeki tatu.
Meishowe hautakula aibu yako,wa kumwogopa ni Mungu tuu,
Na ukihisi tu ulikohamia nako wanaanza kukujuajua, hamia kwingine tena..!! Ni mwendo wa kuhamahama tu kukimbia kujulikana na wateja wako..!!Asante
Asituogope wanaumeUnaogopa wanaume ?
Genge linalipa fresh sana ila uwe mchangamfu kufuata bidhaa
Washawahi kukuletea msosi au pesa ya matumizi ? Vaa ujasiri wiki tu unazoea, au la tafuta eneo la mbaliHabari zenu ndugu zangu,
Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naona aibu kutoka na mazingira niliyopo na namna watu watanichukulia
Naombe ushauri wenu?
🙏Washawahi kukuletea msosi au pesa ya matumizi ? Vaa ujasiri wiki tu unazoea, au la tafuta eneo la mbali
Huna tatizo ndugu!Habari zenu ndugu zangu,
Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naona aibu kutoka na mazingira niliyopo na namna watu watanichukulia
Naombe ushauri wenu?
Duuu huu mwandiko kiboko.Kwani wanaouza unawachukuliaje?
Ila khaaaaa haupendi pesa hau hauna haja nazo.
Mwanzoni umesema unaogopa watu watakuchuliaje. Hapa unasema ulipo watu wana chuki na wanaweza kukuachia ukavitumia mwenyewe. Inaelekea zamani ulikuwa na maisha mazuri na ulikuwa ''huna mpango'' na majirani zako, ukajenga chuki na sasa baada ya hali yako kuyumba, unaogopa hata kufungua genge kwa kuogopa watakucheka na kukususia. Solution ni kuhama au kwenda kufungua hilo genge sehemu ya mbali ambako watu hawakujui. Pia acha nyodo na dharau.Sasq kama nilipo wanachuki wanawwza kuniachia nikavitumia mwenyewe
Kumbe wewe ni matrakoooooo sana sasa watakuchukuliajeee kivip sasa bwege sana weweHabari zenu ndugu zangu,
Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naona aibu kutoka na mazingira niliyopo na namna watu watanichukulia
Naombe ushauri wenu?
Hizi day care ambazo huku Mwakavuta ada kwa mwaka laki nane kwa mtoto mmoja si ni project ya nguvu ya kuhitaji mtaji na unakua na kipato cha kueleweka 100%Watanichukuliaje ni kauli inayoongoza KULAZA NJAA wajinga wajinga nchini.
Nilimaliza degree ya BAF nikaanzisha kituo cha Day care na uji nikapika na watoto wakanikojolea.