Mimi nina vidonda vya tumbo lakini kifua kinakuwa kinawaka sana moto

Mimi nina vidonda vya tumbo lakini kifua kinakuwa kinawaka sana moto

Decision

Member
Joined
May 6, 2020
Posts
36
Reaction score
36
Jamani ivi maumivu ninayopata nyie na nyie yanawafikia ivo? Mimi nina vidonda vya tumbo lakini kifua kinakuwa kinawaka sana moto na mgongo vipi kuhusu shingo inaingilianaje na vidonda vya tumbo mana nakuwa kama mtu kanishika na mkono anataka kunikaba na kama kuisi kooni kuna kitu.hii imekaaj nakunywa dawa hata haisaidii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiungulia hicho,pole sana. Kunywa maziwa, majivu pia huwa yanasaidia na magnesium.
 
Mkuu usidanganyike mi nina vidonda vya tumbo vile vile.Hiyo hali yako imeanza kunitokea hivi karibuni kama wewe niliambiwa ni dalili ya corona.Cha kufanya punguza kula malimao na tangawizi sema kama utakula jitahidi maziwa mtindi yanakuwa karibu.Kuhusu suala la vidonda kooni chemsha maji ya chumvi uwe unasukutua sema weka mafuta ya karafuu,jitahidi yawe yanafika kooni kutwa mara 3 tu.Tabu yote itaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iyo ni Acid reflux...ni ile acid ya tumboni inapanda hadi kufika kooni, ikipanda ndo yanatokea mambo kama hayo kifua kuuma, kuwaka moto, kuhisi kitu kama kinakaba kooni chakula kurudi kooni...chakufanya ingia pharmacy nunua omprazol... Halafu achana kabisa na maharage, tangawizi, ndimu ndimu hizi pia hakikisha haushindi njaa
Mkuu usidanganyike mi nina vidonda vya tumbo vile vile.Hiyo hali yako imeanza kunitokea hivi karibuni kama wewe niliambiwa ni dalili ya corona.Cha kufanya punguza kula malimao na tangawizi sema kama utakula jitahidi maziwa mtindi yanakuwa karibu.Kuhusu suala la vidonda kooni chemsha maji ya chumvi uwe unasukutua sema weka mafuta ya karafuu,jitahidi yawe yanafika kooni kutwa mara 3 tu.Tabu yote itaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani ivi maumivu ninayopata nyie na nyie yanawafikia ivo? Mimi nina vidonda vya tumbo lakini kifua kinakuwa kinawaka sana moto na mgongo vipi kuhusu shingo inaingilianaje na vidonda vya tumbo mana nakuwa kama mtu kanishika na mkono anataka kunikaba na kama kuisi kooni kuna kitu.hii imekaaj nakunywa dawa hata haisaidii

Sent using Jamii Forums mobile app
nichek apo +255763031478 dawa ipo, siku nne tu unapona Mkuu !
 
Ndio vidonda hivyo ni Moja ya dalili nahisi maana nam ulinisumbua natumiaga dawa tu zile Omeprazole nakuwa fit, ila mostly nikiwa na stress sana vinaanza tena
 
Ndugu wadau, kwa yeyote anaesumbuliwa na vidonda vya tumbo anichek direct, dawa ninayo inatibu kwa siku nne tu unapona kabisa

For more testimony chek kwenye uzi mingine za vidonda vya tumbo kuona jinsi watu walivyosha pona kwa dawa hii, msizidi kuendelea kutezeka wakati dawa ipo !

Aksanteni !
 
moto na mgongo vipi kuhusu shingo inaingilianaje

Jamani ivi maumivu ninayopata nyie na nyie yanawafikia ivo? Mimi nina vidonda vya tumbo lakini kifua kinakuwa kinawaka sana moto na mgongo vipi kuhusu shingo inaingilianaje na vidonda vya tumbo mana nakuwa kama mtu kanishika na mkono anataka kunikaba na kama kuisi kooni kuna kitu.hii imekaaj nakunywa dawa hata haisaidii

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro sorry me pia asahivi nina hali kama hiyo vipi ushapona ww
 
Hilo tatizo nazani ni jipya na limeanza mwaka jana maana kuna watu pia mie nawafahamu kabisa wame experience hyo hali na dawa wanatumia lakin bado hawana uafadhali wowote.

Ila hiyo huwa kuna mda inatulia unakuwa sawa kabisa, na pia ikijirudi huwa inakuja ghafla tu na unaweza zidiwa pasipo kutegemea.

Tena huwa mbaya sana pale unapokuwa na hofu, ndo mara nyingi hali zao huwa tete, na hisi hii itakuwa laba inasababishwa na homoni za mwili siko mtaalamu sana ki biology

Kuna reaction fulani ikitokea mwili watu huwa wanafeel hiyo hali
 
Hilo tatizo nazani ni jipya na limeanza mwaka jana maana kuna watu pia mie nawafahamu kabisa wame experience hyo hali na dawa wanatumia lakin bado hawana uafadhali wowote.

Ila hiyo huwa kuna mda inatulia unakuwa sawa kabisa, na pia ikijirudi huwa inakuja ghafla tu na unaweza zidiwa pasipo kutegemea.

Tena huwa mbaya sana pale unapokuwa na hofu, ndo mara nyingi hali zao huwa tete, na hisi hii itakuwa laba inasababishwa na homoni za mwili siko mtaalamu sana ki biology

Kuna reaction fulani ikitokea mwili watu huwa wanafeel hiyo hali
Ni kwel bro asa huo ugonjwa gani
 
Kwenye vidonda vya tumbo [PEPTIC ULCER DISEASE) tatizo kubwa ni acid kuwa nyingi (HCL) hio inasababisha corrosion kwenye stomach wall na kufanya uhisi maumivu ambayo ni epigastric pain (juu ya kitovu kwenda juu na hii hufanya kuona kuna mgandamizo kifuani na burning sensation) pia maumivu huweza kuradiate kwenda kwenya mgongo hususani shoulder blade

Kuhusu Acid reflux ni kurud kwa acid juu kwenye mferej wa kumezea hii huja kama kiungulia
Matibabu mazuri huusidha antibiotics proton pump inhibitor na ant acids

Mimi hua nashaur wateja wangu kutumia zaidi ant acids sababu ndo chimbuko kuu la ugonjwa na ndio rahisi kutumia kuliko hata PPIs (hii ni kwa ambao hawana mdudu msababishi H.pylori)
Kama una shida ya vidonda vya tumbo
1. Avoid spicy foods
2.Avoid acids
3. Tumia Calcium bicarbonate (Ant acid)
 
Back
Top Bottom