Comrade21
JF-Expert Member
- Apr 27, 2023
- 384
- 560
Kwa kweli bado sijajua n ugonjwa gani maana siku izi magonjwa mengi mapya yanaibuka, inaweza ikawa ina sababishwa na virus au bacteriaNi kwel bro asa huo ugonjwa gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli bado sijajua n ugonjwa gani maana siku izi magonjwa mengi mapya yanaibuka, inaweza ikawa ina sababishwa na virus au bacteriaNi kwel bro asa huo ugonjwa gani
Hapo mekupata broo vp unaweza npa namba yakoo kkKwenye vidonda vya tumbo [PEPTIC ULCER DISEASE) tatizo kubwa ni acid kuwa nyingi (HCL) hio inasababisha corrosion kwenye stomach wall na kufanya uhisi maumivu ambayo ni epigastric pain (juu ya kitovu kwenda juu na hii hufanya kuona kuna mgandamizo kifuani na burning sensation) pia maumivu huweza kuradiate kwenda kwenya mgongo hususani shoulder blade
Kuhusu Acid reflux ni kurud kwa acid juu kwenye mferej wa kumezea hii huja kama kiungulia
Matibabu mazuri huusidha antibiotics proton pump inhibitor na ant acids
Mimi hua nashaur wateja wangu kutumia zaidi ant acids sababu ndo chimbuko kuu la ugonjwa na ndio rahisi kutumia kuliko hata PPIs (hii ni kwa ambao hawana mdudu msababishi H.pylori)
Kama una shida ya vidonda vya tumbo
1. Avoid spicy foods
2.Avoid acids
3. Tumia Calcium bicarbonate (Ant acid)
Niulize tu hapa mkuuHapo mekupata broo vp unaweza npa namba yakoo kk
Yan nataka namba yakoo ili uweze nisaidia kaka nakuomba aiseeehNiulize tu hapa mkuu
UliponaBro sorry me pia asahivi nina hali kama hiyo vipi ushapona ww