Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu hawezi kuleta machafuko. Anayeweza kuleta machafuko ni CCM ambao hawataki kuruhusu uchaguzi huru na wa haki.Kwa sasa serikali i-block fedha kutoka ubelgiji mpaka baada ya uchaguzi, Lissu atazitumia kuchochea vurugu na machafuko.
Dah! Mbona wanasema kwamba Lissu alituma watu wakalegeze nati za basi la wabunge hadi wakapata ajaliNkurunzinza Mbowe anataka kufia madarakani, Lissu awe makini anaweza kulegezewa matairi ya gari akapata ajali
Mbowe alikwishasema awali mwaka huu kuwa hagombei. Lakini hata kama amebadilisha huo uamuzi waje wa mwanzo, siyo tatizo. Uchaguzi utafanyika, wanachama wataamua, na ikitokea Lisu ndiyo ameshindwa, kwa maturity ya Mbowe kwenye demokrasia, atawashangaza namna atakampongeza mshindi na kumpa ushirikiano wote.Kufuatia Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama, mimi ningekuwa Mbowe wala nisingechukua hata Fomu ya kugombea, bali ningemuunga mkono kwa kutangaza hadharani tena kwa amani kabisa.
Hujaonja utamu wa Madaraka!Kufuatia Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama, mimi ningekuwa Mbowe wala nisingechukua hata Fomu ya kugombea, bali ningemuunga mkono kwa kutangaza hadharani tena kwa amani kabisa.
Mbowe ni fisadi mkubwa sana nchini...ni ngumu kuachia chupa ya asali ...sifa moja ya mafisadi ni kutokuachia chupa ya asali hatakama wamesha kula hadi kuvimbiwa ...mfano mzuri ni samia .Kufuatia Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama, mimi ningekuwa Mbowe wala nisingechukua hata Fomu ya kugombea, bali ningemuunga mkono kwa kutangaza hadharani tena kwa amani kabisa.
Baada ya kuchanguza kama kweli ana nia njema na Chama si agenda ya Siri maana amezidi uanaharakati.Kufuatia Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama, mimi ningekuwa Mbowe wala nisingechukua hata Fomu ya kugombea, bali ningemuunga mkono kwa kutangaza hadharani tena kwa amani kabisa.
Ni vema muda huu ukautumia kupata matibabu Milembe, maana naona una maruweruwe. Unaona na kusikia mambo yasiyokuwepo.Kwa sasa serikali i-block fedha kutoka ubelgiji mpaka baada ya uchaguzi, Lissu atazitumia kuchochea vurugu na machafuko.
Utasubiri sanaKufuatia Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama, mimi ningekuwa Mbowe wala nisingechukua hata Fomu ya kugombea, bali ningemuunga mkono kwa kutangaza hadharani tena kwa amani kabisa.
Wazuie pia zinazotoka UarabuniKwa sasa serikali i-block fedha kutoka ubelgiji mpaka baada ya uchaguzi, Lissu atazitumia kuchochea vurugu na machafuko.
Mwenyewe nilimuona Lisu chini ya bus akiwa na spana, wakati wabunge wameshuka kuchimba dawa porini!Dah! Mbona wanasema kwamba Lissu alituma watu wakalegeze nati za basi la wabunge hadi wakapata ajali
Waleta machafuko ni ccm na genge laoKwa sasa serikali i-block fedha kutoka ubelgiji mpaka baada ya uchaguzi, Lissu atazitumia kuchochea vurugu na machafuko.