Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Yaani katika kitu huwa nashangaa yaani watu ambao wamebahatika kuwa na dada kuruhusu fukara amuoe dada yake yaani Mimi ningekua na dada fukara hawezi kumuoa yaani masikini akishaingia kwenye familia yetu ya Matajiri analeta mikosi aisee tafuteni hela nyie masikini sio mnakaakaa kizembe kizembe tu mnataka Mimi tajiri ndio niwatunzie hao wake zenu waliochoka sababu ya nyie kuwa masikini